Chapati zaidi aisee.
Hahaha. . . kumbe ndio ujanja wako ehhhh? Niruhusu nikuige mazingira yakiwa yanaruhusu.
una kuni za kutosha?I am going to burn you.
Mie napenda chapati ile ya kusukuma kwa kuilia na supu mchuzi wa nyama au maharage.
chapo ni tamu upate na mchuzi wa nyama na chai ya maziwa iliotiwa hiliki na tangawizi
napenda sana chapati, lakini na ujuzi wangu woooooooote wa uishi bado siwezi kuzipika, hata nifanyaje zinatoka ngumu
Bishanga shughuli yake naifahamu. . .siku nikipika lazima naniii awepo ili massage iweke kiuno na mgongo sawa.
Hahahaha. , zinachambukaaaaa mpaka unajiskia raha kula ehhh?Lizzy hapo kwenye chapati shurti nizungumze...nazipendaje!..haswa zile za kusukuma,ila mapishi yake...mm hoi...zachomwa mbele na nyuma...ebana niliwahi kula chapati zenye kurasa kama 70 hivi!...
mtotowamjini sifa ziwaendee pia wanaoendeleza utaalam aisee. Nshaamua kesho napika (kidole nadhani kitakua kimepona) tena kwa mchuzi wa kuku. Msikaribie.
Hahahaha. . . ingebidi utume pesa kwanza.:biggrin1: mh mh mh chapati na mchuzi wa kuku wow...utengeneze pia na maharage aisee...dah M-PESA ingekua inakubali kutuma na chakula pia ningekuomba unitumie :happy: