mkuu ukiona hivi ujue yuko kwenye danger ZONE ukigusa tu unaangushaDaaaaahh,hizi threads zenu jamani!
View attachment 935838
Msilalamike kuwa wanawake wame kuwa magogo, hata kile kinu amacho ndiyo manikin kule unyago hakina uzito huu.
Msimtafute mchawi jiangalieni hali zenu kwanza.
Usituharibie mishe bhana.Kilo zote hizo zikae juu yako na bado uonyeshe vipaji na ufundi wako? Aaaa wapi, endeleeni tu kuwa magogo hadi na sie tutakapoanza kampeni za kitambi noma.
HapanaKuna tembo anashindwa mkonga wake?..
Ili iweje??Hivi akuna kabisa upasuaji wa kupunguza kitambi?
Duh!View attachment 935838
Msilalamike kuwa wanawake wame kuwa magogo, hata kile kinu amacho ndiyo manikin kule unyago hakina uzito huu.
Msimtafute mchawi jiangalieni hali zenu kwanza.