Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Zaidi ya miezi 3 mji wa Moshi umegubikwa na uhaba mkubwa wa maji kila kona wamama wanazunguka na ndoo wakitafuta maji mchana kutwa hali ambayo haijawahi kutokea mjini hapa, habari zilizonifikia ambazo sijazithibitisha ni kwamba Idara ya maji Moshi inafunga maji kwa wananchi wa kawaida na kuyapeleka kwenye kiwanda cha SERENGETI BREWERES kwa matumizi ya kutengeneza bia.