sehemu kubwa ya watanzania akili zimeoza na ndio chanzo cha matatizo kazi kupiga domo tu rais mmemuweka wenyewe mliona anafaa leo ooh rais ndio tatizo mambo magumu dunia yote ongezeni juhudi kupambana na umaskini
Kweli kabisa ndugu lakini umesahau maneno ya Mfalme Sulemani kuwa "Rushwa upotosha Taifa..."
juhudi lazima iongezwe na wanaifirisi nchi(walarushwa) ni lazima wawajibishwe..
Hakuna 1 litakalo enda likaliacha lingine nyuma...
ZINDUKA