Ubunifu! Ubunifu! Ubunifu!
Purple dadavua tafadhali
let nature follows its course
are you serious?
is there another way?
,mbona wapo wasiochokana na hawakupata mafunzo ya aina yoyote?
unaweza kuichoka nyumba yako?
Bora umeanzisha huu mtazamo nami natoe ninachojua, japo sio mtaalamu sana wa haya mambo lakini naweza sema kitu hapo. Tatizo kubwa tunafanana mfumo wetu wa mapenzi na kuiga kwingi.
Tatizo watu wengi wanaunganishwa na ngono au tendo la ndoa basi. Ikiwa watu wamekuwa wapenzi au mke na mume kwa sabau nyingi, sex ikiwa just among them; hata mkichokana ki sex (ambayo hutokea sometimes) mnakuwa na sababu za kuendelea kuwa pamoja mpaka hamu inaporudi tena.
Hata kwenye ndoa kwa wale ambao ni marafiki basi ndoa yao hudumu hata kukitokea mawimbi; kwa sababu friendship ni ngumu kuisha.
Sasa unakuta watu wameoana lakini si mke wala mume ana details za maisha ya kila siku ya mke/mumewe kwani kila mtu ana marafiki zake wa kushare nao mambo ya maisha; akikutana na mkewe/mumewe shughuli moja tuuuu hamna story; sexxxxxx, kwa nini msichokane????