funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
kwenye kuitwa baba fulani inatokana sana na watoto kwenye familia yenye watoto wadogo inabidi kuitana kama wanavyofanya watoto ili watoto wajue kuwa yule ni baba, unapomwita jina lake mfano Peter au darling unawachanganya sana watoto kiasi kwamba kesho akiulizwa baba yako nani atajibu 'darling'
ile inafanyika kwa sababu ya watoto ila huko chumbani mkiwa peke yenu au kwenye chakula cha usiku mnaweza kuitana majina yote ya mapenzi
kuna katoto kamoja baba yake alikuja na wageni basi kikamkimbilia na kumuita jina lake mfano Peter Jipanguse dingi yale nae akajibu rrrrrrrrraaaaa rrrrrrrrrraaaaaaaa wale wageni hoi kwa kicheko nasikia hako katoto kanamwita baba yake kwa jina lake la kwanza na nahisi ni kutokana na mama yake anavyomwita mumewe
so kwa familia yenye watoto kuitwa baba fulani au mama fulani nadhani imekaa fresh tu ila mkiwa 6 x 6 inakuwa haijatulia
ile inafanyika kwa sababu ya watoto ila huko chumbani mkiwa peke yenu au kwenye chakula cha usiku mnaweza kuitana majina yote ya mapenzi
kuna katoto kamoja baba yake alikuja na wageni basi kikamkimbilia na kumuita jina lake mfano Peter Jipanguse dingi yale nae akajibu rrrrrrrrraaaaa rrrrrrrrrraaaaaaaa wale wageni hoi kwa kicheko nasikia hako katoto kanamwita baba yake kwa jina lake la kwanza na nahisi ni kutokana na mama yake anavyomwita mumewe
so kwa familia yenye watoto kuitwa baba fulani au mama fulani nadhani imekaa fresh tu ila mkiwa 6 x 6 inakuwa haijatulia