bado Super Sport haina mpinzani
Sijaamini kuna watu mbaka dakika hii walikua hawajui HD ikoje
Sijaamini kuna watu mbaka dakika hii walikua hawajui HD ikoje
Wakuu naamini kabisa wengi wetu tuna tizama mpira kwa luninga na nizile channel za kwaida sasa embu jaribu HD channel nautaona tofauti yake...unacho hitaji ni decoder ya PVR
kwani wewe unajua vitu vyote???
Najua na nimesha kutana na vingi pia.
Quality ya picha kaka uta fikiria upo u wanjani