Nyendeke
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 1,552
- 2,844
Habari za majukumu wana jf? Jaman ndugu zangu yani hawa jamaa wanakera hadi basi, yaan taarifa yao ya habari ya saa 1 ucku ni full matatzo Picha mbaya tena zna ganda sana, mara ukute habar znaingiliana na saut ndo mara ikatke.., hv inamaana wao hawaoni kua hili ni tatizo? Unakuta habari nzuri lakn ndo hutailewa kabsaaaa.., aaaah mnatuboa sana!!