abel makungu
New Member
- Sep 12, 2013
- 3
- 0
Kipindi kizuri ila wanaharibu wachangiaji
Ni kipindi kizuri ila mtangazaji anakiendesha ktk misingi ya propaganda za CCM.
Mkuu, huyo mtangazaji. Anapalilia udc maana wameona kina kipozi, makunga, b mkwasa wanavyokula bata sasa na huyo is following suit.Ni kipindi kizuri ila mtangazaji anakiendesha ktk misingi ya propaganda za CCM.
Mtayarishaji na mwendeshaji
wa hicho kipindi, pamoja na kuwa Mwandishi mkongwe wa Habari yuko
biased sana hata amekiharibu. Haishangazi kuwa kipindi chake kinakosa
wadhamini.
Mkuu, huyo mtangazaji.
Anapalilia udc maana wameona kina kipozi, makunga, b mkwasa wanavyokula
bata sasa na huyo is following suit.
Mkuu hivi Rais wenu ukawa ni nani vile.
kama hakina wadhamini mbona kinarushwa hewani?
mi mpaka nilikua nakosana na wa2 kwa ajiri ya kumwangali makwahia kuhanga lakini nikuja shangaa siku hizi kanunuliwa ili kuusambaratisha upinzani sina hamu tena na kipindi chake sasa nimebaki itv mgongano wa hoja na kipima joto
Pia yule mwimbaji wa mashairi, jina lake linaana na tamba...... nimemsahau kidogoumemsahau halima kihemba.