Wa Mjengoni
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 480
- 128
Jana yalisainiwa makubaliano yatakaowezesha vipindi vya televisheni ya channel Ten kuonekana kupitia DSTv. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar.
Source: Tanzania Daima la leo uk. wa 5 na mimi mwenyewe saa hizi naangalia Ch. 10
Source: Tanzania Daima la leo uk. wa 5 na mimi mwenyewe saa hizi naangalia Ch. 10