big-diamond
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 421
- 551
Tumesikia wenzetu wa west africa wakiwafukuza hawa jamaa wa red cross kwa kusema kuwa chanjo wanazotoa ndizo zilizobeba ugonjwa unawaua..na pia wameendelea kwa kusema kuwa watu waliokufa ni wale tu waliopata chanjo za kukinga ugonjwa....
Hivyo ningependa kujua hii chanjo inayopita sasa hivi mitaani ina usalama kwetu...?
Hivyo ningependa kujua hii chanjo inayopita sasa hivi mitaani ina usalama kwetu...?