My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Nyie waafrica mna akili za kipunda punda sana,sasa mtachanjwa kwa nguvu,na atakayezuia watu wasichanjwe atapigwa Risasi hadharani.SABABU 10 YA KWANINI SITACHANJWA
1.Wataalamu wa afya wameshindwa kuniakikishia usalama wangu baada yakuchoma chanjo,serikali inanitaka nijaze fomu kukiri wao kutokuhusika na madhara yeyote yatakayojitokeza.
2.Wataalam hawajatoa maelezo ya nini Kilichopo katika chanjo na kanuni zilizotumika katika utengeneaji.
3.Wataalam wameshindwa kuniakikishia chanjo itakaa muda gani mwilini,mwezi,miezi mwaka au miaka fumbo hili haijulikani
4.Baada yakuchoma chanjo bado nitalazimika kuvaa barakoa.
5.Baada yakuchoma chanjo bado nitaweza kupata maambukizi.
6.Nikipata chanjo bado nitalazimika kuweka social distance(kutokukaribiana na watu).
7.Ndugu zangu wote na mimi wakipata chanjo bado hatutatakiwa kukaribiana wala kukumbatiana.
8.Serikali iliyopita ilituakikishia chanjo hazifai na ilitoa mfano kuna NNCHI fulani walipewa chanjo ikidhaniwa kuzuia kansa ya shingo yakizazi,kumbe ilikuwa kuzuia kuzaa,sasa wakati huu hakuna wakukanusha hili na hata kutoa ufafanuzi juu ya ukweli huo(kuwa ya sasa haina hayo madhara au vingievyo)
9.Serikali imeshindwa kutupa maelezo ya kwanini ilichagua chanjo ya jonson and jonson kati ya chanjo nyingi zilizopo ingali jonson and jonson inatuhuma yakugandisha damu na kusababisha madhara kwa wamarekani.
10.Hakuna kanusho lolote dhidi ya chanjo hizi kubadili DNA,kusababisha utasa..
Chanjo ni HIARI ya mtu,ni kosa kuhamasisha kuchoma au kutokuchoma tuache iwe jambo la mtu mmoja mmoja binafsi nimechagua kutokuchanjwa
Ningekuwa Rais mimi Gwajima angekuwa kapotea siku nyingi mno