Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kwa walichoma chanjo ya Corona wanachoma sindano mbili ndani ya wiki tatu (3) na baada ya hapo unapata cheti ambacho kinakuwa halali ndani ya miezi (6) kisha unatakiwa kuchanjwa tena ili uwe na kinga.
Ikumbukwe Tanzania ina watu zaidi ya milioni hamsini (50),kama angalau watu milioni 30 wakichoma kila mwaka inaweza kugharimu dola milioni 90-120 kila baada ya miezi sita ikiwa dozi itauzwa dola 3-4 ambayo ni bei ya AstraZeneca kwa wastani.
Serikali inapaswa kuweka mpango madhubuti ili kukabiliana na gharama ya chanjo kama wananchi watahamasika la sivyo tutaishia kugawa chanjo kwa awamu ya kwanza kisha tukashindwa kuwa endelevu kwa tatizo la afya sio covid-19 tu!
Ni natumaini kuna mpango madhubuti kwani tukilemaa wajanja watatumia hizi chanjo kupata rasilimali zetu kwa bei mchekee.
Kwa walichoma chanjo ya Corona wanachoma sindano mbili ndani ya wiki tatu (3) na baada ya hapo unapata cheti ambacho kinakuwa halali ndani ya miezi (6) kisha unatakiwa kuchanjwa tena ili uwe na kinga.
Ikumbukwe Tanzania ina watu zaidi ya milioni hamsini (50),kama angalau watu milioni 30 wakichoma kila mwaka inaweza kugharimu dola milioni 90-120 kila baada ya miezi sita ikiwa dozi itauzwa dola 3-4 ambayo ni bei ya AstraZeneca kwa wastani.
Serikali inapaswa kuweka mpango madhubuti ili kukabiliana na gharama ya chanjo kama wananchi watahamasika la sivyo tutaishia kugawa chanjo kwa awamu ya kwanza kisha tukashindwa kuwa endelevu kwa tatizo la afya sio covid-19 tu!
Ni natumaini kuna mpango madhubuti kwani tukilemaa wajanja watatumia hizi chanjo kupata rasilimali zetu kwa bei mchekee.