Fatma-Zehra
Senior Member
- Oct 18, 2020
- 192
- 1,062
Uwezo wangu wa kisiasa, kiuchumi, na ki-intelijensia ni mdogo sana. Naomba niliweke hili wazi mapema. Sisi ndiyo wale tunaouliza lini "Brazil itacheza na Manchester".
Ninachompendea Mama, tofauti na JPM ni tabia yake ya kuwa brief. Hotuba ya Mama usipoiwahi basi utakuta amemaliza. Harudiirudii mambo. Iko well planned. Hata mambo yake yanaonekana kuwa organized. Halafu anafuata ushauri. Leo namuongezea ushauri. Dark blue skirt au non blouse garments ambazo ni dark blue zinampendeza sana. Mama hapotezi muda. Siku JK ameongea bungeni masaa matatu nilisema huyu baba kulikoni? Twende kwenye mada.
1. JPM hakuipa "kiki" Covid. Hii ilitusaidia angalau uchumi haukuanguka kama nchi nyingine. Ukoloni wa sasa wa dunia ni kuharibu uchumi wa dunia ili wenye njaa kama sisi tuumie zaidi halafu tutawaliwe vizuri. Kwa bahati mbaya, uchumi wa dunia umetikisika. Lockdown zimeua a great number of economies. Nchi zilitishwa na kusema ukweli lockdown ikashika kasi. Chanjo zimejitokeza na makampuni yamepiga pesa. Pfizer wanategemea kuingiza dola billion 35 kwa mwaka 2021 alone. Next year ndiyo usiseme. Intelligence entities za wenzetu, katika hili wamefanikiwa sana.
2. Intention ya mama ni nzuri. Anajali watu wake. Hata hivyo, ninahisi kuna mtego wa kiuchumi na kiintelijensia tunauingia bila kufahamu. Kwakuwa hatukuwa na lockdown ambayo ndiyo target kuu na si vaccination, na hili halikuwafurahisha wakubwa, naona wamefurahi sana sisi kuchanja. Naomba niwe wazi. Chanjo ni salama. Siyo kweli kuwa inaua. Ila mtego uliopo ni kwamba kuchukua hatua ya kuchanja ni hatua muhimu kukubaliana na hatua zote za kukabiliana na covid hasa lockdown. Kumbuka kwamba, covid haijaisha. Ndiyo kwanza imeanza. Hata tukichanja watu wote duniani, covid "itakuja" tu. Inaonekana huu ni mradi wa kuua uchumi wa dunia. Katika hili wataalamu watanisaidia.
3. Sasa kama nilivyosema hapo juu, lockdown ni njia ya kupambana na maambukizi hasa yanapokuwa makubwa. Kwa kuwa tumekubaliana na hatua nyingine ikiwemo masking, basi tukumbuke kuwa November 2021 to May 2022 ni kipindi kingine cha covid. Tutakuwa hatujachanja sana. Tutashinikizwa tu-adopt enhanced measures of combating the virus. And this is lockdown. Hatutaweza kukataa maana tulishafanya mambo mengi ikiwamo kujiunga na covax, kuomba msaada wa kiuchumi, pamoja na kuchukua tahadhari zote kama vile masking, physical distancing, and hand washing. Therefore, lazima tutakubaliana na lockdown.
4. Lockdown ni mbaya kuliko covid. Lockdown will kill our economy. Jobs will be lost. There will be a great cry all over the country. Kodi itashuka and ability of government to fund its projects and people will perish miserably. Ultimately, social and political unrest will embrace our living. Hadi hapo, kujinasua tutakuwa tumeshindwa. Msaada tutapewa wenye masharti magumu. Ukitaka kujinasua (kuleta mbwembwe) utanyooshwa kwa vikwazo na silaha nyingine za kiuchumi. Hali hii ni mbaya sana kuliko covid yenyewe. Naomba niwe mkweli. Variants bado zinakuja.
Nini tufanye kwa sasa?
1. Tuache kuimba nyimbo za covid na kuishobokea maana itatuliza. Sisi tuiache chanjo itumike kama passport tu kwa watu ambao wana matumizi nayo na hawazidi watu laki mbili!!
2. Tuache kuagiza chanjo nyingine kwa pesa zetu.
3. Tuwekeze kwenye kilimo sana ili tuwe na chakula cha kutosha
4. JK is my family friend. However, kwa sasa siyo lazima sana mama kumfanya kuwa mshauri wake.
Muda wa kuingia jikoni umekaribia. Siku njema
Ninachompendea Mama, tofauti na JPM ni tabia yake ya kuwa brief. Hotuba ya Mama usipoiwahi basi utakuta amemaliza. Harudiirudii mambo. Iko well planned. Hata mambo yake yanaonekana kuwa organized. Halafu anafuata ushauri. Leo namuongezea ushauri. Dark blue skirt au non blouse garments ambazo ni dark blue zinampendeza sana. Mama hapotezi muda. Siku JK ameongea bungeni masaa matatu nilisema huyu baba kulikoni? Twende kwenye mada.
1. JPM hakuipa "kiki" Covid. Hii ilitusaidia angalau uchumi haukuanguka kama nchi nyingine. Ukoloni wa sasa wa dunia ni kuharibu uchumi wa dunia ili wenye njaa kama sisi tuumie zaidi halafu tutawaliwe vizuri. Kwa bahati mbaya, uchumi wa dunia umetikisika. Lockdown zimeua a great number of economies. Nchi zilitishwa na kusema ukweli lockdown ikashika kasi. Chanjo zimejitokeza na makampuni yamepiga pesa. Pfizer wanategemea kuingiza dola billion 35 kwa mwaka 2021 alone. Next year ndiyo usiseme. Intelligence entities za wenzetu, katika hili wamefanikiwa sana.
2. Intention ya mama ni nzuri. Anajali watu wake. Hata hivyo, ninahisi kuna mtego wa kiuchumi na kiintelijensia tunauingia bila kufahamu. Kwakuwa hatukuwa na lockdown ambayo ndiyo target kuu na si vaccination, na hili halikuwafurahisha wakubwa, naona wamefurahi sana sisi kuchanja. Naomba niwe wazi. Chanjo ni salama. Siyo kweli kuwa inaua. Ila mtego uliopo ni kwamba kuchukua hatua ya kuchanja ni hatua muhimu kukubaliana na hatua zote za kukabiliana na covid hasa lockdown. Kumbuka kwamba, covid haijaisha. Ndiyo kwanza imeanza. Hata tukichanja watu wote duniani, covid "itakuja" tu. Inaonekana huu ni mradi wa kuua uchumi wa dunia. Katika hili wataalamu watanisaidia.
3. Sasa kama nilivyosema hapo juu, lockdown ni njia ya kupambana na maambukizi hasa yanapokuwa makubwa. Kwa kuwa tumekubaliana na hatua nyingine ikiwemo masking, basi tukumbuke kuwa November 2021 to May 2022 ni kipindi kingine cha covid. Tutakuwa hatujachanja sana. Tutashinikizwa tu-adopt enhanced measures of combating the virus. And this is lockdown. Hatutaweza kukataa maana tulishafanya mambo mengi ikiwamo kujiunga na covax, kuomba msaada wa kiuchumi, pamoja na kuchukua tahadhari zote kama vile masking, physical distancing, and hand washing. Therefore, lazima tutakubaliana na lockdown.
4. Lockdown ni mbaya kuliko covid. Lockdown will kill our economy. Jobs will be lost. There will be a great cry all over the country. Kodi itashuka and ability of government to fund its projects and people will perish miserably. Ultimately, social and political unrest will embrace our living. Hadi hapo, kujinasua tutakuwa tumeshindwa. Msaada tutapewa wenye masharti magumu. Ukitaka kujinasua (kuleta mbwembwe) utanyooshwa kwa vikwazo na silaha nyingine za kiuchumi. Hali hii ni mbaya sana kuliko covid yenyewe. Naomba niwe mkweli. Variants bado zinakuja.
Nini tufanye kwa sasa?
1. Tuache kuimba nyimbo za covid na kuishobokea maana itatuliza. Sisi tuiache chanjo itumike kama passport tu kwa watu ambao wana matumizi nayo na hawazidi watu laki mbili!!
2. Tuache kuagiza chanjo nyingine kwa pesa zetu.
3. Tuwekeze kwenye kilimo sana ili tuwe na chakula cha kutosha
4. JK is my family friend. However, kwa sasa siyo lazima sana mama kumfanya kuwa mshauri wake.
Muda wa kuingia jikoni umekaribia. Siku njema