Chang’ombe flyover ni moto wa kuotea mbali, foleni ya gari zinazotoka Kamata na Karume kuwa historia jijini Dar es Salaam

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,045
40,705
Jana baada ya kupewa taarifa na mmoja wa wadau humu kwamba ujenzi wa Chang’ombe flyover umeshaanza nilishtuka kidogo, nikaona nifunge safari kwenda kushuhudia mwenyewe anachozungumzia kama ni kweli, maana sikuwahi kuona wala kusikia kwenye vyombo vya habari.

Sasa kwakuwa vyombo vya habari vimegoma kutuhabarisha juu ya kazi ya ujenzi wa hiyo flyover, nikaona hiyo kazi niifanye mimi.

Nilifika, na kweli nimekuta site ya upande mmoja imeshazungushiwa mabati na kazi imepamba moto, ila cha ajabu sasa, nikasahau kupiga picha.

Nadhani baada ya kukamilika kwa hii flyover, maendeleo yatakuja kwa kasi sana kutokana na watu kuepuka kupoteza muda na pesa nyingi kwenye foleni za ajabu ajabu,hasa zile za kutokea Kamata na Karume.
 
Jana baada ya kupewa taarifa na mmoja wa wadau humu kwamba ujenzi wa Chang’ombe flyover umeshaanza nilishtuka kidogo, nikaona nifunge safari kwenda kushuhudia mwenyewe anachozungumzia kama ni kweli, maana sikuwahi kuona wala kusikia kwenye vyombo vya habari.

Sasa kwakuwa vyombo vya habari vimegoma kutuhabarisha juu ya kazi ya ujenzi wa hiyo flyover, nikaona hiyo kazi niifanye mimi.

Nilifika, na kweli nimekuta site ya upande mmoja imeshazungushiwa mabati na kazi imepamba moto, ila cha ajabu sasa, nikasahau kupiga picha.

Nadhani baada ya kukamilika kwa hii flyover, maendeleo yatakuja kwa kasi sana kutokana na watu kuepuka kupoteza muda na pesa nyingi kwenye foleni za ajabu ajabu,hasa zile za kutokea Kamata na Karume.




Tutajenga flyover hapo! Kwani kampeni Dar lini? Mfugale atangaze tenda kabisa.hili nchi tajiri shida ipo wapi?
 
Hata hivyo leo nimechungulia naona kama wanajenga tunnel ya kupitishia bomba la maji ya mvua ili barabara itanuke kupisha mwendo kasi katikati
 
Back
Top Bottom