Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Wataalamu wengi wa Siasa nchini, wamekuwa wakikishauri Chama cha CHADEMA kufanya jitihada za kujitanua na maeneo ya vijijini kwa kuanzisha Ofisi angalao kwa kuanzia na ngazi ya Wilaya na kuwa na Waajiriwa permanent.
Tunashukuru, tangu 2016, CHADEMA kilianzisha mfumo wa kuajiri watumishi (makatibu) lakini ujenzi wa Ofisi huko wilayani umekuwa ni wa kusuasua sana kiasi cha kukatisha tamaa juu ya mikakati hasa ya Chama hicho kuelekea 2020.
CCM imekuwa ikifaidika sana na mfumo wa maisha wa wananchi vijijini, ambao hawakuwahi kuweza kutofautisha kati ya CCM vs Serikali (ya CCM).
Hata hivyo, mapinduzi makubwa ya mitandao ya kijamii, yamesababisha kuenea haraka kwa taarifa katika maeneo ya vijijini kiasi cha kuinufaisha CHADEMA na Wapinzani wengine kuwafikia wananchi vijijini kwa urahisi.
Ile perception ya zamani kuwa vijijini ni ngome ya upinzani, inafaa kubadilishwa kwani hali ya uelewa vijijini imeongezeka maradufu.
Cha ajabu, ukiacha kazi za Viongozi wa Kitaifa wa Chama, hapo katikati hadi chini, ni wazi CCM wako usingizini kwani hawajengi Chama chao kulinganisha na jinsi Upinzani unavyokibomoa huko vijijini.
Mind you, it was just 67% (just 15 million) of the registered voters (23 million) who turned out to the polling stations in 2015.
Pliz, CCM, Zama zimebadilika, mnaachwa nyuma kwani licha ya Rais Magufuli kueneza kwa kasi utendaji kazi wa Serikali yake, bado hakuna wana-CCM wa kuipeleka kwa wananchi. So, Mwalimu wangu UD, Dr. Bashiru utaliona hilo la uduni wa CCM (lumumba/buku 7) mitandaoni kulinganisha na CHADEMA (nyumbu).
Hongera sana CHADEMA but pliz muwalipe vizuri na kwa wakati makatibu wenu ili waeneze siasa zenu vyema vijijini. "Politics is a Science."
Tunashukuru, tangu 2016, CHADEMA kilianzisha mfumo wa kuajiri watumishi (makatibu) lakini ujenzi wa Ofisi huko wilayani umekuwa ni wa kusuasua sana kiasi cha kukatisha tamaa juu ya mikakati hasa ya Chama hicho kuelekea 2020.
CCM imekuwa ikifaidika sana na mfumo wa maisha wa wananchi vijijini, ambao hawakuwahi kuweza kutofautisha kati ya CCM vs Serikali (ya CCM).
Hata hivyo, mapinduzi makubwa ya mitandao ya kijamii, yamesababisha kuenea haraka kwa taarifa katika maeneo ya vijijini kiasi cha kuinufaisha CHADEMA na Wapinzani wengine kuwafikia wananchi vijijini kwa urahisi.
Ile perception ya zamani kuwa vijijini ni ngome ya upinzani, inafaa kubadilishwa kwani hali ya uelewa vijijini imeongezeka maradufu.
Cha ajabu, ukiacha kazi za Viongozi wa Kitaifa wa Chama, hapo katikati hadi chini, ni wazi CCM wako usingizini kwani hawajengi Chama chao kulinganisha na jinsi Upinzani unavyokibomoa huko vijijini.
Mind you, it was just 67% (just 15 million) of the registered voters (23 million) who turned out to the polling stations in 2015.
Pliz, CCM, Zama zimebadilika, mnaachwa nyuma kwani licha ya Rais Magufuli kueneza kwa kasi utendaji kazi wa Serikali yake, bado hakuna wana-CCM wa kuipeleka kwa wananchi. So, Mwalimu wangu UD, Dr. Bashiru utaliona hilo la uduni wa CCM (lumumba/buku 7) mitandaoni kulinganisha na CHADEMA (nyumbu).
Hongera sana CHADEMA but pliz muwalipe vizuri na kwa wakati makatibu wenu ili waeneze siasa zenu vyema vijijini. "Politics is a Science."