figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Hoja ya nyumba za kupanga kwani imekaaje? What is the catch?
watu wanapangisha nyumba kwa hela kubwa lakini hawatoi kodi. Piga picha nyumba zinazo pangishwa tanzania. mia
Hoja ya nyumba za kupanga kwani imekaaje? What is the catch?
Mkuu HK, binafsi nimependa jinsi umegeuka na kuwa humble and down to earth all over a sudden, kufikia kiasi cha kujishusha na kutaka mawazo yetu, hii move ni ++ on your side, nakupongeza kwa hili.Ndg zangu, nataraji kupata fursa ya kuhutubia bungeni kwenye bajeti ya ofisi ya waziri mkuu iliyowasilishwa leo, hapa tutapata fursa ya kusema lolote la kisera na hata la kijimbo, kama mlivyoshuhudia leo wachangiaji wa mwanzo walivyoanza.
Jina langu ni la 34 kwenye orodha ya wachangiaji hivyo nina matumaini makubwa ya kupata nafasi ya kuchangia endapo orodha hii itafuatwa kama ilivyo. Naomba mawazo ya nini unadhani ni nyeti sana na ungependa kisemewe na wabunge?
Nitatoa fursa kwa watu watakaonipa issue nyeti na zenye mantiki na hususan zilizokaa kitaifa zaidi. Kwa wale wa Nzega na hata Tabora kwa ujumla, mnakaribishwa kunipa issue za Kijimbo, kiwilaya ama hata kimkoa ili nizisemee bungeni.
wakatabahu,
HK.
ushauri wako mzuri, umeonesha unafuatilia mambo, lakini style yako ya kunifikishia ujumbe sasa...
Iundwe tume huru ya bunge kuchunguza chanzo cha mgomo wa madaktari na kuchunguza iwapo kauli za waziri mkuu zinahusika na kuchochea mgomo kati ya madaktari na ukweli wa kauli zake jinsi wanajitahidi kuupunguza mgomo.
Selikali ifikie hatua iseme imefanyanini kupunguza mvutano na wafanyakazi na iwe wazi mishahara mikubwa na posho kubwa kwa wabunge inawaongezea mvutano na wananchi
Mkuu Matola, huyu HK aliyepo sasa siye tena yule aliyeshindana na Bashe ndani ya CCM na hata baada ya ushindi, jinamizi la Bashe kuendelea kumtesa hivyo kumfanya aishi nyuma ya kivuli cha Bashe!. HK huyu wa sasa ni HK mpya ambaye amepata self realization kuwa kuwa hata kama amepita kwa tiketi ya CCM, lakini baada ya kuchaguliwa, yeye sasa ni mtumishi wa watu na sio mtumishi wa CCM!. Jukumu lake kubwa ni kuwatumikia watu wote wa Nzega, waliomchagua na wasio mchagua, wana CCM na wasio wana CCM!. Ameisha ukubali ule ukweli mchungu kuwa "Now CCM doesn't anymore", kinachomata sasa ni huduma yake kwa jamii yake na sio CCM tena!.Daktari Kingwangallah, huna jipya ni heri ukubali kufa na madaktari wenzako ambao watakupokea kama itatokea Hussein Bashe akakuzidi tena maarifa kwenye kura za maoni.
Ubunge ni kazi ya kupita tu lakini ukumbuke wewe ni Daktari wakikuheshimu na kukubali madaktari wenzako ni heshima kubwa, usiwe na akili za panzi kama za Margreth Sitta aliyewasaliti Walimu wenzake baada ya kukaa kwenye high table.
Ungekuwa ume-spend muda wako kumshauri mbunge ungekuwa umefanya la maana sana kuliko kumwaga haya matusi yote yasiyo na tija. badaya ya kumuonyesha kuwa yeye ni mjinga kinyume chake wewe umeweka wazi ujinga wako sasa
sioni mantiki ya ccm na wadau hapa kumpigia chapuo huyo msomali wao,,,bashe si mtanzania its ova,BASHE NA RAGE SI WATANZANIA,WAENDE BAIDOA HUKO NA MOGADISHU WAKAENDESHE SIASA,,,,,,Mkuu Matola, huyu HK aliyepo sasa siye tena yule aliyeshindana na Bashe ndani ya CCM na hata baada ya ushindi, jinamizi la Bashe kuendelea kumtesa hivyo kumfanya aishi nyuma ya kivuli cha Bashe!. HK huyu wa sasa ni HK mpya ambaye amepata self realization kuwa kuwa hata kama amepita kwa tiketi ya CCM, lakini baada ya kuchaguliwa, yeye sasa ni mtumishi wa watu na sio mtumishi wa CCM!. Jukumu lake kubwa ni kuwatumikia watu wote wa Nzenga, waliomchagua na wasio mchagua, wana CCM na wasio wana CCM!. Ameisha ukumbali ukweli mchungu kuwa kinachomata sasa ni huduma yake kwa jamii yake na not CCM anymore!.
Mimi nimemuungani huyu HK wa sasa kwenye kundi la kina Deo Filikunjombe, la kusimama na kuhesabiwa!. Kwa msimamo wake wa sasa, mbele ya HK wa sasa, Bashe is nothing!. CCM ni chama kongwe na rushwa is the order of the day ndani ya CCM, msomali ameishaitandaza kisawasawa, hivyo CCM sasa ndio wanamhujumu HK ili 2015 wapate ground na justification ya kumtema na kumpitisha kipenzi chao Bashe!. HK ameshaona mbali, and he banks with the people who matter most, and by that time, kusimama kuwatumikia wananchi, sio lazima kudhaminiwa na chama cha siasa, hivyo HK akishikilia msimamo wake wa kusimama na wananchi, wana Nzega, watasimama nae, Bashe na CCM yake, down the drain, watakwenda nayo!.
Je kwanini isiundwe tume ya bunge kuutafute ukweli juu ya kauli zinazokinzana kati ya madaktari na waziri mkuu. Kama waziri mkuu kadanganya basi awajibishwe mtu mmoja waziri mkuu hawezi kuwa muhimu kuliko wagonjwa na madaktari wote
tusitegemee sheria hizi zinazowabana wanyonge kuweza kuwabana madaktari wanachotaka ni kuanza kupuuzwa kwa maamuzi ya mahakama na hii ndio hatua ya juu ya mapinduzi
ushauri wako mzuri, umeonesha unafuatilia mambo, lakini style yako ya kunifikishia ujumbe sasa...
Ndg zangu, nataraji kupata fursa ya kuhutubia bungeni kwenye bajeti ya ofisi ya waziri mkuu iliyowasilishwa leo, hapa tutapata fursa ya kusema lolote la kisera na hata la kijimbo, kama mlivyoshuhudia leo wachangiaji wa mwanzo walivyoanza.
Jina langu ni la 34 kwenye orodha ya wachangiaji hivyo nina matumaini makubwa ya kupata nafasi ya kuchangia endapo orodha hii itafuatwa kama ilivyo. Naomba mawazo ya nini unadhani ni nyeti sana na ungependa kisemewe na wabunge?
Nitatoa fursa kwa watu watakaonipa issue nyeti na zenye mantiki na hususan zilizokaa kitaifa zaidi. Kwa wale wa Nzega na hata Tabora kwa ujumla, mnakaribishwa kunipa issue za Kijimbo, kiwilaya ama hata kimkoa ili nizisemee bungeni.
wakatabahu,
HK.