Chadema naona kama pesa hamna sion matangazo wala mabango makubwa na vipeperushi wala media coverage kwenye tv na radio.tupo tayari kuchanga wekeni mpesa,tigo pesa etc tuchange pesa.binafsi nipo tayari kutua 1m kwa ajili ya ukombozi
Wazo zuri. Kampeni za Chadema zimepoa sana