Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Siku nilifanya kama mzaha tu, nilivaa Kapelo(kofia) ya CCM, kipindi hicho uchaguzi mkuu (2010) ulikuwa unakaribia
Kona kadhaa nilizopita nilikutana na mambo yafuatayo.
1. Matusi ya chinichini huku watu wakitoa shutuma
kuwa kijana Mzima anaikumbatia CCM!
2.Sura zilizokuwa zinaniangalia kwa ghadhabu, dharau na hasira.
3.Wengine walinisonya.
NB. Hakuna aliyenipiga.
Tafadhali naomba utueleze huko uliko ni changamoto zipi unaweza kukutana nazo kwa kuvaa nguo za CCM.
Kona kadhaa nilizopita nilikutana na mambo yafuatayo.
1. Matusi ya chinichini huku watu wakitoa shutuma
kuwa kijana Mzima anaikumbatia CCM!
2.Sura zilizokuwa zinaniangalia kwa ghadhabu, dharau na hasira.
3.Wengine walinisonya.
NB. Hakuna aliyenipiga.
Tafadhali naomba utueleze huko uliko ni changamoto zipi unaweza kukutana nazo kwa kuvaa nguo za CCM.