Changamoto zaongezeka Chadema

Mzee Nondo

Senior Member
Feb 26, 2014
125
83
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
Naona upo kazi....
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
Hahahaaaa duuh, mkuu hata kama ni njaa yako imezidi.
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto

Inaonekana hujielewi basa wewe, na watu wakiendelea kujadiliana na wewe watakupandisha daraja ambalo hukustahili.

KAJIFUNZE KUANDIKA
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
Mwendawazimu?
 
Wanachadema tunakumbushia uchaguzi wa mkt wa chama Taifa, viongozi wa juu wa chama msijikaushe, uchaguzi, uchaguzi na uchaguzi tena.
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
Kwenye heading ungeweka namba yako ya simu upigiwe kwa ajili ya uteuzi.
 
Wewe kweli unezeeka..!
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
Hapo Udsm wanafunzi na maprofesa wenu akili zenu zinafanana!
 
Malalamiko kuwa chama hiki Wabunge wake wananunuliwa nadhani sasa hiyo hoja imekufa kibudu baada ya kupatikana ukweli kuwa hata akina Mgwira,Mtatiro n.k. nao mbio kuelekea CCM.
Kumbe ukweli umebaki kuwa Chadema kimekosa mvuto
Hivi una akili timamu kweli wewe?
 
Back
Top Bottom