Uliyo yasema mkuu Fidel80 ni kweli akifa utaona watu wanavyo shona sare na miwani ya jua kudadadeki na wengine chekiza mil 10....
Kama sijaelewa na sikuelewa, una uhakika gani kuwa ukiendelea kunijibu nitaelewa? FYI, mtu ambaye haelewi hapa ni wewe, unapofungua uzi kuwa tayari kwa mada yako kunyambuka, usitake watu waseme unachotaka wewe kusikia ili kujustify conclusion yako..acha kuwa one-sided and myopic, funguka na kuwa mpana, i mean kimawazo.
Wewe kama mie, ukiwa sio mpenzi wa the so-called bongo muvi, magazeti ya udaku na bongo fleva, utajihisi mkiwa na mgeni sana . Mie hadi leo sjui 'hakunaga' kaimba nani :tongue:Kwa kweli hata mimi mpaka najiona siko Tanzania, who is Sajuki? Ningependa nami nimjue...au labda ni google?
ingekuwa malumbano ya hoja live nahisi watu mngepigana hapa...duu.Eiyer chukulia mtu alivyo laa sivyo utakasirika bure na mtu hamjuani mmekutana humuhumu tu.Take it easy:rant:Huu ni unafiki mwingine!Si ungegoogle sio mpaka uje useme hapa!