Changamoto za mfumo Mpya wa Manunuzi ya LUKU kwa Government Electronic Payment Gateways (Ge-PG)

Tulimumu

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
14,305
12,968
"Ndugu mteja, kuanzia trh 02/04/2018 faida kwa mauzo ya LUKU itapungua kutoka 2.5% hadi 0.5% kutokana na punguzo la kamisheni na TANESCO. Asanteni" Ujumbe kutoka SELCOM

======

Naona dalili za kuyumba kwa biashara za uwakala wa kufanya mimala ya LUKU kupitia Selcom na Maxmalipo hasa kutokana na Tanesco kupunguza kamisheni katika miamala ya kuuza LUKU kutoka asilimia 2.5 hadi 0.5 kuanzia April 2, 2018 Hii maana yake ni kuwa wakati zamani ukiuza umeme wa Sh laki moja ulikuwa unapata kamisheni ya 2,500/= kwa mabadiliko haya sasa ukiuza umeme wa kiasi hicho hicho kwa miamala tofauti au kwa pamoja utapata Sh. 500/= ambapo ukiweka float kwa njia ya simu unakatwa 1500 kwa laki 1.

Pamoja na faida hiyo ndogo bado wakala utakatwa Connectivity ya 2,500/= kwa mwezi pamoja na kodi. Sasa kwa kamisheni ya asilimia 0.5 ni kuwa ukifanya biashara ya Sh milioni 1 utapata kamsheni ya sh 5,000/= kisha hapo ukatwe connectivity, na kodi hapo bado hujaondoa gharama ya rola ambayo ni kati 2,000 hadi 3,000/ bado hapo hujakatwa unapoweka float. Hivyo ukijumlisha makato yote unaweza kukuta kamisheni yote inakatwa na unadaiwa ambapo watakata kwenye float au mtaji wako. Kwa namna hii wengi wataziground hizi mashine kwakuwa mitaani biashara kubwa ya mashine hizi ni kuuza umeme na kidogo kulipia maji na vocha rusha ambazo sio kubwa kivile. Maxmalipo mwanzoni ilikuwa inatumika hata kulipia faini za trafiki lakini waliondoa hiduma hiyo.

Makampuni haya yaangalie namna ya kusurvive na kuwafanya mawakala wabaki katika biashara vinginevyo wengi watashindwa na kuzifungia mashine kwenye makabati hasa ukizingatia kuwa huduma hizo zinafanywa pia kupitia mitandao ya simu hivyo siyo lazima mteja aende kwa wakala wa Maxmalipo au Selcom.

Ndugu mteja, Mauzo ya LUKU sasa yanafanyika moja kwa moja kwenye mfumo wa malipo wa serikali GEPG. Ada ya 1.1% itatozwa. Mf: Kwa LUKU ya Tsh 1000, Ada ni Sh 11

Cost TZS 4,098.37
VAT 18% TZS 737.70
EWURA 1% TZS 40.98
REA 3% TZS 122.95
TOTAL TZS 5,000.00
 
Kutumia Selcom kununua LUKU ni ubabaishaji mtu na kuongeza gharama kwa mteja. Kwanini watu wasinunue umeme kwa simu zao moja kwa moja kutoka tanesco? why selcom then tanesco. Hata police waliugundua ubabaishaji huu wa "middle men" kwenye malipo, saa nyingine hawa middle men waongeza cha juu au kuficha baadhi ya mapato (wizi)
 
"Ndugu mteja, kuanzia trh 02/04/2018 faida kwa mauzo ya LUKU itapungua kutoka 2.5% hadi 0.5% kutokana na punguzo la kamisheni na TANESCO. Asanteni" Ujembe kutoka SELCOM

Naona dalili za kuyumba kwa biashara za uwakala wa kufanya mimala ya LUKU kupitia Selcom na Maxmalipo hasa kutokana na Tanesco kupunguza kamisheni katika miamala ya kuuza LUKU kutoka asilimia 2.5 hadi 0.5 kuanzia April 2, 2018 Hii maana yake ni kuwa wakati zamani ukiuza umeme wa Sh laki moja ulikuwa unapata kamisheni ya 2,500/= kwa mabadiliko haya sasa ukiuza umeme wa kiasi hicho hicho kwa miamala tofauti au kwa pamoja utapata Sh. 500/= ambapo ukiweka float kwa njia ya simu unakatwa 1500 kwa laki 1

Pamoja na faida hiyo ndogo bado wakala utakatwa Connectivity ya 2,500/= kwa mwezi pamoja na kodi. Sasa kwa kamisheni ya asilimia 0.5 ni kuwa ukifanya biashara ya Sh milioni 1 utapata kamsheni ya sh 5,000/= kisha hapo ukatwe connectivity, na kodi hapo bado hujaondoa gharama ya rola ambayo ni kati 2,000 hadi 3,000/ bado hapo hujakatwa unapoweka float. Hivyo ukijumlisha makato yote unaweza kukuta kamisheni yote inakatwa na unadaiwa ambapo watakata kwenye float au mtaji wako. Kwa namna hii wengi wataziground hizi mashine kwakuwa mitaani biashara kubwa ya mashine hizi ni kuuza umeme na kidogo kulipia maji na vocha rusha ambazo sio kubwa kivile. Maxmalipo mwanzoni ilikuwa inatumika hata kulipia faini za trafiki lakini waliondoa hiduma hiyo

Makampuni haya yaangalie namna ya kusurvive na kuwafanya mawakala wabaki katika biashara vinginevyo wengi watashindwa na kuzifungia mashine kwenye makabati hasa ukizingata kuwa huduma hizo zinafanywa pia kupitia mitandao ya simu hivyo siyo lazima mteja aende kwa wakala wa Maxmalipo au Selcom
Biashara zote zimeenda kwenye mikono ya serikali. Rais wa wanyonge anajenga nchi kwanza.
 
"Ndugu mteja, kuanzia trh 02/04/2018 faida kwa mauzo ya LUKU itapungua kutoka 2.5% hadi 0.5% kutokana na punguzo la kamisheni na TANESCO. Asanteni" Ujembe kutoka SELCOM

Naona dalili za kuyumba kwa biashara za uwakala wa kufanya mimala ya LUKU kupitia Selcom na Maxmalipo hasa kutokana na Tanesco kupunguza kamisheni katika miamala ya kuuza LUKU kutoka asilimia 2.5 hadi 0.5 kuanzia April 2, 2018 Hii maana yake ni kuwa wakati zamani ukiuza umeme wa Sh laki moja ulikuwa unapata kamisheni ya 2,500/= kwa mabadiliko haya sasa ukiuza umeme wa kiasi hicho hicho kwa miamala tofauti au kwa pamoja utapata Sh. 500/= ambapo ukiweka float kwa njia ya simu unakatwa 1500 kwa laki 1

Pamoja na faida hiyo ndogo bado wakala utakatwa Connectivity ya 2,500/= kwa mwezi pamoja na kodi. Sasa kwa kamisheni ya asilimia 0.5 ni kuwa ukifanya biashara ya Sh milioni 1 utapata kamsheni ya sh 5,000/= kisha hapo ukatwe connectivity, na kodi hapo bado hujaondoa gharama ya rola ambayo ni kati 2,000 hadi 3,000/ bado hapo hujakatwa unapoweka float. Hivyo ukijumlisha makato yote unaweza kukuta kamisheni yote inakatwa na unadaiwa ambapo watakata kwenye float au mtaji wako. Kwa namna hii wengi wataziground hizi mashine kwakuwa mitaani biashara kubwa ya mashine hizi ni kuuza umeme na kidogo kulipia maji na vocha rusha ambazo sio kubwa kivile. Maxmalipo mwanzoni ilikuwa inatumika hata kulipia faini za trafiki lakini waliondoa hiduma hiyo

Makampuni haya yaangalie namna ya kusurvive na kuwafanya mawakala wabaki katika biashara vinginevyo wengi watashindwa na kuzifungia mashine kwenye makabati hasa ukizingata kuwa huduma hizo zinafanywa pia kupitia mitandao ya simu hivyo siyo lazima mteja aende kwa wakala wa Maxmalipo au Selcom
Taasisi zingine nazo zimepunguza?? Kama dawasco etc!
 
Na maxcom si ilikua inalazimishwa kulist DSE? Sasa hisa atanunua nani kama mambo yenyewe ndo haya?
 
Kutumia Selcom kununua LUKU ni ubabaishaji mtu na kuongeza gharama kwa mteja. Kwanini watu wasinunue umeme kwa simu zao moja kwa moja kutoka tanesco? why selcom then tanesco. Hata police waliugundua ubabaishaji huu wa "middle men" kwenye malipo, saa nyingine hawa middle men waongeza cha juu au kuficha baadhi ya mapato (wizi)
Wazo zuri ila kumbuka tulio kwenye nyumba za kupanga tunahitaji risiti kuweka kumbukumbu zetu sawa,kuna makampuni pia yanaitaji risiti for rerirements......ofisi za Tanesco zipo chaache saana.
 
Kutumia Selcom kununua LUKU ni ubabaishaji mtu na kuongeza gharama kwa mteja. Kwanini watu wasinunue umeme kwa simu zao moja kwa moja kutoka tanesco? why selcom then tanesco. Hata police waliugundua ubabaishaji huu wa "middle men" kwenye malipo, saa nyingine hawa middle men waongeza cha juu au kuficha baadhi ya mapato (wizi)
Kwani iyo kampuni ya simu sio middleman?.
 
Back
Top Bottom