Changamoto za kutafuta ajira

Pi Network

JF-Expert Member
Mar 22, 2016
290
319
1465795591973.jpg


Kati ya asilimia 5 na 10 ya watu ambao wamekaa muda mrefu bila kuajiriwa huondoa habari kuhusu shahada za chuo kikuu na habari za ujuzi wao wanapotuma maombi ya kazi, kwa sababu habari hizo zinawafanya waonekane wanastahili mshahara mkubwa kuliko kazi wanayotafuta.

MAPENDEKEZO: Ikiwa wewe pia unakabili changamoto kama hiyo, unashauriwa kuiga mfano huu.
 
Back
Top Bottom