Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,481
- 3,991
We umeolewaNadhani tatizo linaanzia kwenye ngazi ya familia, watoto hawapati malezi bora kutoka kwa wazazi wao,
Na ukija shule tunafundishwa gender balance, tukija kwenye jamii tunakutana mwanamke anaweza.!!
Hapa tayari tunawapa wanawake jeuri ya kufahamu they can do anything, na hili automatic linawamaliza wanaume ujasiri wa kusimamia nafasi zao kama wanaume.!!