Changamoto za kifedha baina ya wenza zinazidi kuongezeka

hata kama ni mmmh...chaguo lako!hata kama ni mfupi....chaguo lako!
Yan hii nyimbo ukiwa ushavurugwa alaf ndo unaisikia utatamani uingie chini ya ardhi tu
Haha..!!
Hizo situation zipo sana, hasa kwa wanaume, wanajifanya huyu dada ni wa kupita tu, mwisho wa siku wanajikuta they've fallen on that trap!!
Inabaki 'hilo ni chaguo lako'..!!
 
hata kama ni mmmh...chaguo lako!hata kama ni mfupi....chaguo lako!
Yan hii nyimbo ukiwa ushavurugwa alaf ndo unaisikia utatamani uingie chini ya ardhi tu
😂 😂 😂 😂
Akiii' nimecheka sana!! Hii nyimbo huwa inaumiza moyo sana ikikukuta na mtu asiye sahihi, bora awe kweli 'chaguo lako' halafu kila ukimuona unaona malaika mbele yako..!!
 
Kichwa cha habari kime walenga wanaume, nawe jifunze ku balance story, ungesema "Ndugu zanguni mjifunze ...........,
kuhusu bibie wangu wala mimi sina shida, na hakuna tatizo lolote lililo chinichini, wewe mwenyewe unafahamu kwamba wanawake huwa hawapendi sana kufuatiliwa mambo yao, ukitaka mwanmke afurahi muache huru na mambo yake, yaani mwanaume unajifanya kama huoni vile, ukiona amefanya jambo kubwa sirini unamwambia live kwamba nimegundua A B C..
'Kichwa cha habari'!? Seriously..!?
Nimeongelea pande zote mbili Mr. Coaster.!!

Na siyo kwamba wanawake hawapendi kufuatiliwa, inategemea kwanza unamfuatilia kwenye nini, mwanamke usipomfuatilia pia anahisi humpendi.!!
 
'Kichwa cha habari'!? Seriously..!?
Nimeongelea pande zote mbili Mr. Coaster.!!

Na siyo kwamba wanawake hawapendi kufuatiliwa, inategemea kwanza unamfuatilia kwenye nini, mwanamke usipomfuatilia pia anahisi humpendi.!!
i am sorry, nimeona kweli Heading yako umeandika wenza, But umeanza story yako kwa kuwa attack wanaume zaidi, ningefurahi kama ungepeleka mashambulizi pande zote mbili ili kunogesha maongezi lakini pia kuboresha mahusiano
 
i am sorry, nimeona kweli Heading yako umeandika wenza, But umeanza story yako kwa kuwa attack wanaume zaidi, ningefurahi kama ungepeleka mashambulizi pande zote mbili ili kunogesha maongezi lakini pia kuboresha mahusiano
Ahsante sana kwa ushauri mkuu, ila wahanga wakuu ni wanaume sababu hao ndiyo 'watongozaji' zaidi ndiyo maana nilikazia sana kwao, Ila all in all your point has been noted well..!!
 
Sex ndo kitu pekee kina run dunia mkuu.! Mwenye kujifunza jambo hapa atakuwa keshajifunza.!!
Mkuu mm nishajifunza kitu kikubwa sana hapo.Na kwakwel umeeleza kitu constructive sana ambacho kina mustakabali wa kujenga au kubomoa maisha ya wawil.
Asikwambie mtu,wanaume tunasemagabtu kwamba aaah hela ya mkeo usiifuatilie lakin huwa tunakereka sana pale tunapweka mizigonyetu mezan halaf nyie mnajifanya kama mnajikuna hiv!!!
 
No SweetieLee, haiwezekani kwamba Dunia hii eti inaendeshwa na hicho kitu !!, No No No, ulianza vizuri lakini unataka kuharibu mwishoni.
Nimeandika hivyo kum support mkuu aliyesema ingekuwa ni nyuzi ya kuhusu masuala hayo ingefika mbali, unataka kubisha hili? Uzi wa kula tunda kimasikhara na sehemu za hatari watu walizowahi kuvunja amri ya Mungu ni mfano hai,
Ukiacha pesa na mapenzi nini kinasumbua akili za watu wengi hivii sasa??
 
Nimeandika hivyo kum support mkuu aliyesema ingekuwa ni nyuzi ya kuhusu masuala hayo ingefika mbali, unataka kubisha hili? Uzi wa kula tunda kimasikhara na sehemu za hatari watu walizowahi kuvunja amri ya Mungu ni mfano hai,
Ukiacha pesa na mapenzi nini kinasumbua akili za watu wengi hivii sasa??
Usiseme watu wengi, kama mapenzi yanakusumbua wewe jisemee mwenyewe, watu wamepotezewa muelekeo na serikali hii ya awamu ya tano wanapata wapi muda wa kuwaza mapenzi ?, wanaoweza kuwaza hayo labda wale waliomaliza masomo hivi karibuni
 
Wazee wetu waliishije na wenzake wao mbona kulikuwa shwari kuna nn siku hizi na hizi ndoa nadhani elimu na direction I am kuletewa na mitumbwi ni moja ya chanzo
 
Usiseme watu wengi, kama mapenzi yanakusumbua wewe jisemee mwenyewe, watu wamepotezewa muelekeo na serikali hii ya awamu ya tano wanapata wapi muda wa kuwaza mapenzi ?, wanaoweza kuwaza hayo labda wale waliomaliza masomo hivi karibuni
Ukisema 'kupotezewa muelekeo' hapa moja kwa moja hili linaelekezwa kwenye kipato, na nilijibu hili kuwa pesa na mapenzi ndo vitu vinaisumbua zaidi jamii yetu.!! Baada ya hivyo ndipo yatafuata masuala mengine.!!
 
Wazee wetu waliishije na wenzake wao mbona kulikuwa shwari kuna nn siku hizi na hizi ndoa nadhani elimu na direction I am kuletewa na mitumbwi ni moja ya chanzo
Nadhani tatizo linaanzia kwenye ngazi ya familia, watoto hawapati malezi bora kutoka kwa wazazi wao,
Na ukija shule tunafundishwa gender balance, tukija kwenye jamii tunakutana mwanamke anaweza.!!
Hapa tayari tunawapa wanawake jeuri ya kufahamu they can do anything, na hili automatic linawamaliza wanaume ujasiri wa kusimamia nafasi zao kama wanaume.!!
 
Wewe utakuwa level nzuri kimaisha so hauna haja ya kudanganya au unaingia kwenye mahusiano na watu ulio karbu nao kama vile wafanyakazi wenzako na majiran.
Usitusemee Mkuu, kama wewe ndio ulimdanganya mchumba wako kwa 70% itoshe kujisema wewe labda na marafiki zako wachache, maana ndege wafanananao huruka pamoja, mimi sijawahi kumdanganya msichana eti anikubali, kwani ninajua madhara ya kuigiza maisha
 
Back
Top Bottom