Changamoto za Foreign Exchange

wickerman

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
408
247
Habari Wakuu,

Binafsi kwenye swala la kubadilisha fedha za kigeni lilikua lina nichanganyaga kujua Zile Rates zina ku-affect vp. Sell rate inatumika muda gani na Buy Rate inatumika muda gani. Ila baadae nilielewa.

Wewe huwa unapataga changamoto gani unapotaka kubadilisha fedha za kigeni kwenye Bureau/Bank. Au kulipia kitu online kwa foreign currency ukiwa Tanzania?
 
Badala ya kwenda Bank, kwa nini usiende kwa wazee wa FOREX wakubadilishie?
 
Kaka binafsi nahitaji kupata elimu juu ya pesa za kigeni hususan dollars mana zina masharti mengi sana mfano nasikia ikiwa noti ya USD imechakaa thaman yake inashuka nataka kujua inashuka vp na kwa kiwango gan,kingine muda wa kutumika hiyo pesa toka izalishwe nini kitu cha kuzingatia wakati wa kuchange dollars kweny mabenk yetu,niliwah kwenda bank moja hapo sinza rate iliyokuwepo kweny TV ya ukutani ilikuwa 2320 nilipofika dirishan nkaambiwa thaman ya dollar ni 2250 nkarud kuangalia ukutan ilikuwa ile ile 2320 nataka kujua system ya ukutan na dirishan zpo tofaut, tafadhari anaejua naomba anisaidie hayo yote nitashukuru
 
Kaka binafsi nahitaji kupata elimu juu ya pesa za kigeni hususan dollars mana zina masharti mengi sana mfano nasikia ikiwa noti ya USD imechakaa thaman yake inashuka nataka kujua inashuka vp na kwa kiwango
ulisikia wapi huu uongo naomba uache kusikia tena huko sio reliable source..
,kingine muda wa kutumika hiyo pesa toka izalishwe nini kitu cha kuzingatia wakati wa kuchange dollars kweny mabenk yetu,niliwah kwenda bank moja hapo sinza rate iliyokuwepo kweny TV ya ukutani ilikuwa 2320 nilipofika dirishan nkaambiwa thaman ya dollar ni 2250 nkarud kuangalia ukutan ilikuwa ile ile 2320 nataka kujua system ya ukutan na dirishan zpo tofaut, tafadhari anaejua naomba anisaidie hayo yote nitashukuru
Hio ni just marketing wanakuvutia kwa bei nzuri zaidi ili uingia ndani na dirishani.., wangeweka bei halisi huenda usingefika dirishani..., pia kuna bureau de change unaweza ku-bargain bei kama una pesa kubwa kwahio kiuhalisia hata hio bei uliyopewa huenda ungewa kuongezewa senti kadhaa...

Mwisho wa siku hii ni biashara ananunua kwako anauza kwa mwingine..., tofauti ya bei ya kununua na kuuzia ndio faida..., kwahio anaweza akaongeza kidongo kwenye mwenye kununua na kupunguza kidogo kwa anayemuuzia..., na kushuka na kupanda kunategemea mahitaji ya wanunuzi na wauzaji..., wakiwa wanunuzi wengi kuliko wauzaji bei itapanda..., and vice versa
 
Kaka binafsi nahitaji kupata elimu juu ya pesa za kigeni hususan dollars mana zina masharti mengi sana mfano nasikia ikiwa noti ya USD imechakaa thaman yake inashuka nataka kujua inashuka vp na kwa kiwango gan,kingine muda wa kutumika hiyo pesa toka izalishwe nini kitu cha kuzingatia wakati wa kuchange dollars kweny mabenk yetu,niliwah kwenda bank moja hapo sinza rate iliyokuwepo kweny TV ya ukutani ilikuwa 2320 nilipofika dirishan nkaambiwa thaman ya dollar ni 2250 nkarud kuangalia ukutan ilikuwa ile ile 2320 nataka kujua system ya ukutan na dirishan zpo tofaut, tafadhari anaejua naomba anisaidie hayo yote nitashukuru
Bei uliyosema 2320 ni selling rate ya benk, hyo 2250 ilikua ni buying rate ya benki. Hizi mwanzoni zilikua zinanichanganya.

Ukitaka zisikuchanganye kiurahisi fanya ni maongezi ya kuuziana kitu.

- - - - -

Scenario 1: USD ---> TZS

Mr Bank: Mr Mteja, karibu sana, nikuhudumie na nn?

Mr Mteja: Mr Bank, dah, nina dola za kimarekani hapa naziuza nipate tshs.

Mr Bank: Sawa sawa, hebu nizione...

Mr Bank: Sawa, sasa hizi nitanunua 2250 kwa kila dola 1, unasemaje? (buy rate)

Mr Mteja: Sawa haina shida... Nina dola kama 100 hapa.

Mr Bank: Sawa, haina neno.
(anakupatia 225,000 tshs).

- - - - -

Scenario 2: TZS ---> USD

Mr Bank: Karbu sana Mr Mteja, vp unahitaji nini?

Mr Mteja: Nina Tshs zangu hapa 225,000 nahitaj $ ya marekani aisee...

Mr Bank: Anhaaa, ninazo hizo nauza 1$ kwa 2320 tshs, unasemaje? (Sell rate)

Mr Mteja: Sawa nipatie.
(Unapokea $96.98)

- - - - -

Unapoenda na fedha ya kigeni mfano $ ukahitaji upate tshs, unaiuzia benki hyo pesa uliyokuwa nayo, kwahyo wao kama wafanya biashara watanunua kwa bei ndogo wakauze kwa bei kubwa baadae. Kwenye maongezi juu hapo, Hyo tofauti hapo ($3.02) ndo faida ya Bank, au Bureau.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei uliyosema 2320 ni selling rate ya benk, hyo 2250 ilikua ni buying rate ya benki. Hizi mwanzoni zilikua zinanichanganya.

Ukitaka zisikuchanganye kiurahisi fanya ni maongezi ya kuuziana kitu.

- - - - -

Scenario 1: USD ---> TZS

Mr Bank: Mr Mteja, karibu sana, nikuhudumie na nn?

Mr Mteja: Mr Bank, dah, nina dola za kimarekani hapa naziuza nipate tshs.

Mr Bank: Sawa sawa, hebu nizione...

Mr Bank: Sawa, sasa hizi nitanunua 2250 kwa kila dola 1, unasemaje? (buy rate)

Mr Mteja: Sawa haina shida... Nina dola kama 100 hapa.

Mr Bank: Sawa, haina neno.
(anakupatia 225,000 tshs).

- - - - -

Scenario 2: TZS ---> USD

Mr Bank: Karbu sana Mr Mteja, vp unahitaji nini?

Mr Mteja: Nina Tshs zangu hapa 225,000 nahitaj $ ya marekani aisee...

Mr Bank: Anhaaa, ninazo hizo nauza 1$ kwa 2320 tshs, unasemaje? (Sell rate)

Mr Mteja: Sawa nipatie.
(Unapokea $96.98)

- - - - -

Unapoenda na fedha ya kigeni mfano $ ukahitaji upate tshs, unaiuzia benki hyo pesa uliyokuwa nayo, kwahyo wao kama wafanya biashara watanunua kwa bei ndogo wakauze kwa bei kubwa baadae. Kwenye maongezi juu hapo, Hyo tofauti hapo ($3.02) ndo faida ya Bank, au Bureau.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkr sana nmeelew vzr
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom