Changamoto za choo cha kukaa na jinsi ya kukabiliana nazo

Wakuu!

Binasfi mimi hivi vyoo vya kukaa, huwa sivielewi kabisa, juzi niliingia kwenye ofisi fulani hivi, sasa tumbo likanishika, daaaah kuingia Toi, nakuta choo cha kukaa,

Aisee, honestly nilipata shida sana kukitumia, ilinichukua kama dk 5, ndio nikapata position nzuri ya kuachia mizigo, ila sio position ya kukaa.

Sikupenda nikae kabisa pale kwenye sink, Kwa sababu

1. Ule ubaridi wa pale juu ya sink
2. Mikojo iliyopo juu ya lile sink,
3. Halafu hau enjoy kabisa, yani unaona kama utajinyea vile. Yani shida tupu.

Hivi vyoo, sio salama kabisa kiafya:
Namba 2 hapo pameonyesha wewe ni mchafu by nature,huwezi kuta sehemu chafu ukaiacha hivyo hivyo na kuitumia, ustaarabu ni kusafisha kwanza ndipo utumie
 
nina ndugu yangu mmoja ni tajiri.nyumba yake yote ameweka vyoo vya kukaa.sivikubali kabisa labda niwe nakitumia peke angu
sasa mkuu mbona rahisi tu si umwombe tu chumba kimoja alafu ufumue ilo lisinki la kukaa uweke sinki lako la kuchuchumaa mbona rahisi tu
 
Hivi vyoo Ni kero Sana.
Niliwahi kuvikuta hoteli moja ya kitalii uko mbugani.

Hata maji hamna, unaambiwa tumia toilet paper.

Niliona ujinga huu, nikaenda zangu kukata gogo kwenye kichaka kilichokua karibu
huko kichangani vipi maji uliyakuta?
 
Wakuu!

Binasfi mimi hivi vyoo vya kukaa, huwa sivielewi kabisa, juzi niliingia kwenye ofisi fulani hivi, sasa tumbo likanishika, daaaah kuingia Toi, nakuta choo cha kukaa,

Aisee, honestly nilipata shida sana kukitumia, ilinichukua kama dk 5, ndio nikapata position nzuri ya kuachia mizigo, ila sio position ya kukaa.

Sikupenda nikae kabisa pale kwenye sink, Kwa sababu

1. Ule ubaridi wa pale juu ya sink
2. Mikojo iliyopo juu ya lile sink,
3. Halafu hau enjoy kabisa, yani unaona kama utajinyea vile. Yani shida tupu.

Hivi vyoo, sio salama kabisa kiafya:
Mbona rahis tu kaka, kwenye vyoo ving vya public ukikosa iman ya kukilia fanya usafi kwanza kabla hujaweka tako lako, au chukua tissue zungushia sehem ya kukaa, tofauti na wewe unavofanya kusimama juu madhara yake makubwa siku yakikuta, omba usiwe mfano. hzo karanga zako mbili unaweza kuzipoteza kimzadhaa tu

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Wakuu!

Binasfi mimi hivi vyoo vya kukaa, huwa sivielewi kabisa, juzi niliingia kwenye ofisi fulani hivi, sasa tumbo likanishika, daaaah kuingia Toi, nakuta choo cha kukaa,

Aisee, honestly nilipata shida sana kukitumia, ilinichukua kama dk 5, ndio nikapata position nzuri ya kuachia mizigo, ila sio position ya kukaa.

Sikupenda nikae kabisa pale kwenye sink, Kwa sababu

1. Ule ubaridi wa pale juu ya sink
2. Mikojo iliyopo juu ya lile sink,
3. Halafu hau enjoy kabisa, yani unaona kama utajinyea vile. Yani shida tupu.

Hivi vyoo, sio salama kabisa kiafya:
Mi huwa kama kuna ndoo namalizia huko alafu ndo namwagia chooni maana kile choo kama nicha jumuiya u.t.i nje nje
 
Kuna jamaa yangu alikuwa na tabia akikuta choo cha kukaa basi yeye anaamua kupandisha miguu yake juu kabisa analazimisha kuchuchumaa, kwa sababu hizo ulizotaja, sasa siku 1 akakutana na sinki iliyokwishachoka, alishuka nayo mzima mzima na kinyesi chake mpaka sakafuni. Tulikuwa chuo.
Teh teh teh. Hii mada hii!
 
Mkuu vyoo vya kukaa vina umuhimu haswa kwa watu wenye matatizo ya miguu ila hata mimi mzigo wa kukuchuchumaa huwa naona poa sana mana kwanza kuna angle fulani unaipata ukichuvhuma afu the likely ya kutoa mzigo fresh tumboni upo katika choo cha kuchuchumaa, Ebwana raha sana
 
Aisee vya kukaa siyo kabisa Yan,
1.Kukalia mikojo aliyoacha mwenzio kabla yako
2.Wasiwasi wa kurukiwa na maji/mavi kukurudia pindi utakapotupia mzigo wako pale shimoni
3.Balance inakuwa haipo kabisa
4.Kunawa pia inakuwa shida so ni lazima uguse sink kwa mkono japo kdg.
5.Kwa ndugu zangu waislam hivi vyoo ndo havifai kabisa,waislam wenzangu nadhani mnanielewa hapa.
Una flash kwanza maji yale yaondoke tuliotoka vyoo vya shimo ni shida tupu
 
Hivi vyoo Ni kero Sana.
Niliwahi kuvikuta hoteli moja ya kitalii uko mbugani.

Hata maji hamna, unaambiwa tumia toilet paper.

Niliona ujinga huu, nikaenda zangu kukata gogo kwenye kichaka kilichokua karibu
Pamoja na mjadala wote huu, hili la kutumia toilet paper kujisafishia ni janga.

Ninadhani wanaolazimisha utaratibu huo kwenye ujengaji wa vyoo vyao wana matatizo.

Lazima kuwe na option ya matumizi ya maji ama karatasi kutokana na mahitaji ya mtu.

Lakini me nachukia sana kukuta mabaki ya kinyesi kwenye boxer yatokanayo na matumizi ya kujisafishia karatasi, ambapo uchafu huwa hauishi moja kwa1, wakati matumizi ya maji kujisafishia humuweka mtu huru na kila mtu anajua, sasa makaratasi tena!
 
Kuna mama alikipanda kwa lengo la kuchuchumaa ili akwepe UTI matokeo yake ndio anatumia choo hicho mpaka leo ilimchana nyama zote na misuli ya kwenye paja plus akabamiza na kisogo wakati anatua nacho guess what kaogelea UTI alizokua ana kwepa na matatizo mengine mengi anayo ishi nayo mpaka leo. Tumia kama ni lazima sana au una uatizo ambalo ni lazima utumie
akayabeba na mengine
 
unaweka kile kibomba chembamba cha maji pembenu

Hicho kibomba kinawekwaje ?? Mie kuna siku nilitumiaga hivho kibomba yaani wakati wa kujisafisha maji yalisambaa mle ndani hadi nikawa najiuliza nafanyaje nikaanza kuya mop bahati nzuri palikuwa na mopper . Ushamba huu mpakq sasa hivi hivyo vyoo sibipendi basi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom