BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
ππ½ππ½ππ½ππ½
Vyoo kukaa rahaa hasa kiwe cha peke yako tu au wawili tu
Vyoo kukaa rahaa hasa kiwe cha peke yako tu au wawili tu
...πππ...?Kwakumalizia, hii ni yangu binafsi si lazima iwe kwako. Ninapenda choo cha kuchuchumaa hasa nikiwa na mpenzi wangu,napenda akijisaidia hasa haja ndogo nione kirahisi vile mkojo unamwaika kama kinyunyizi mrashi(sprinkler). Mimi nikiona hivyo ninaridhika sana.
Siku ukipata jeraha kubwa la mguu kama kuteguka goti ndio utajua kuwa haujui.
Mkuu kujifunza kutumia kitu chochote kipya kwa kila mtu kuna changamoto zake!Wakuu!
Binasfi mimi hivi vyoo vya kukaa, huwa sivielewi kabisa, juzi niliingia kwenye ofisi fulani hivi, sasa tumbo likanishika, daaaah kuingia Toi, nakuta choo cha kukaa,
Aisee, honestly nilipata shida sana kukitumia, ilinichukua kama dk 5, ndio nikapata position nzuri ya kuachia mizigo, ila sio position ya kukaa.
Sikupenda nikae kabisa pale kwenye sink, Kwa sababu
1. Ule ubaridi wa pale juu ya sink
2. Mikojo iliyopo juu ya lile sink,
3. Halafu hau enjoy kabisa, yani unaona kama utajinyea vile. Yani shida tupu.
Hivi vyoo, sio salama kabisa kiafya: