Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 548
- 475
Nipo dar natafuta kazi ya ualimu mawasiliano yangu 0714954609Wewe kwani mwalimu sijuzi ulikuwa unalalamika
Nipo dar natafuta kazi ya ualimu mawasiliano yangu 0714954609Wewe kwani mwalimu sijuzi ulikuwa unalalamika
you vyNaomba kujua ukiondoa document bahati mbaya badala ya kubonyeza badili, nawezaje irejesha na kuweka document hiyo wakuu?
Wakuu hope mko poa.
Mwaka Jana , niliomba ajira za ualimu lakini nilikosa.
Ule mfumo ulitaka applicant kuweka majina matatu wakati Mimi natumia mawili kwenye vyeti vyangu vyote.
Basi kwakuwa system ya zaman ukiruka ata step moja ilikuwa inazngua kukamilisha application, so niliamua jina la Kati nitumie la namba ya nida.
Sasa this year naskia kwa wanaojisairi upya system inaruhusu ATA majina mawili, nimeajalibu kubadilisha lakini wapi yaan kwenye tarifa binafsi, jina la kwanza, la Kati, na la mwisho pamoja na kipengere Cha jinsia hawakubali kubadilisha,
Nifanyeje maana profile yangu Ni majina matatu uku vyeti vyote Ni majina mawili.
Msaada plz
Akifungua account mpya na kujaza upya???
Wanapokea bhana acha kupotosha jamaa ametoka ongea nao mda si mrefuNani amekuambia wanapokea simu wale
Nenda kwenye taarifa binafs, chini Kuna maneno "oanisha taarifa za necta" ingiza taarifa zako then itajsetI'm here , necta candidate's particular does not match,, how can I fix it
How? Help pleaseYes you can!
you vy
Document gan umetoa kimakosaHow? Help please
Birth certificateDocument gan umetoa kimakosa
Aise mbona nimejaribu inaniletea huu ujumbe, kureset password bado ashindwa mwenye solution ya hii issue msaada plz!KWA WANAOPATA CHANGAMOTO YA KURESET PASSWORD
Kwenye sehem ya index number wakati unareset password weka Email yako ulotumia wakat unafungua akaunti. Utatumiwa nywila ako
Kwa ufupi sanaa...Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
wakati naomba ajira niliandika barua kwa kalamu nikapata ilikiwa 2010. Sijui kama kuna utaratibu rasmiWadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
Mmmh jib lako lina zaa maswal meng ila fresh asantKwa ufupi sanaa...
Mwandiko wako unawezo wa kuongea mengi sana kuhusu wewe!!
umewakilsh vyema mkuu, sema bado hatujui kua huo ndio utaratibu rasm au vip?wakati naomba ajira niliandika barua kwa kalamu nikapata ilikiwa 2010. Sijui kama kuna utaratibu rasmi