Changamoto ya Mawakala kutolipwa kamisheni

Acceptable

Senior Member
Oct 7, 2020
153
302
Habari wakuu.

Kuna changamoto ambayo mawakala wa huduma za kifedha kama vile M-pesa, Tigo pesa, Airtel money, Halopesa na T-Pesa wanazopitia hasa katika upande wa kufanya miamala. Lakini tatizo lipo sana upande wa M-pesa.

Nikiri kwamba kufanya miamala ni biashara kama biashara zingine duniani ambazo zinahitaji mtu apate faida ili aendelee kufanya biashara hiyo. Inapotokea mtu hapati faida basi biashara yake itakufa.

Kumekuwa na tahadhari kutoka mitandao ya simu hasa Vodacom (M-Pesa) kwamba wakala ukimuwekea pesa mtu ambae yupo mbali hautalipwa kamisheni yako ya muamala huo. Hii inaweza kuwa sawa kwasababu za kibiashara lakini kwa mawakala hili ni tatizo kwasababu mtu anaweza kudanganya kuwa anaweka pesa kwenye simu yake kumbe anamtumia mtu wa mkoa mwingine tofauti na alipo (Kumbuka huwezi kumwambia mteja lete simu yako hapa nione kama SMS ya muamala unaingia kwako). Mwisho wa siku hii inakuwa imekula kwako wewe wakala kwa kukosa kamisheni yako.

Nini kifanyike?

Makampuni haya ya simu yatengeneze mfumo (Automatic Location Detection) ambao utawawezesha mawakala kupewa WARNING wakati wanaweka pesa kwa mteja kama yuko mbali simu ikutahadhalishe kwamba "mtu unaemuwekea hela yupo mbali na eneo lako hivyo hautalipwa kamisheni yako, kuendelea bonyeza labda "1" kusitisha muamala bonyeza "2".

Hii itasaidia kuwapatia kamisheni zinazostahili mawakala wanaowasaidia kuwafikishia huduma karibu na wananchi.

NAOMBA TUSAIDIE KUFIKISHA UJUMBE HUU SEHEMU HUSIKA.

ASANTE
 
Makampuni haya ya simu yatengeneze mfumo (Automatic Location Detection) ambao utawawezesha mawakala kupewa WARNING wakati wanaweka pesa kwa mteja kama yuko mbali simu ikutahadhalishe kwamba "mtu unaemuwekea hela yupo mbali na eneo lako hivyo hautalipwa kamisheni yako, kuendelea bonyeza labda "1" kusitisha muamala bonyeza "2".

Achana na vodacom shughulika na makampuni yanayomtengenezea mteja unafuu wa maisha hali inabana
 
Habari wakuu.

Kuna changamoto ambayo mawakala wa huduma za kifedha kama vile M-pesa, Tigo pesa, Airtel money, Halopesa na T-Pesa wanazopitia hasa katika upande wa kufanya miamala. Lakini tatizo lipo sana upande wa M-pesa.

Nikiri kwamba kufanya miamala ni biashara kama biashara zingine duniani ambazo zinahitaji mtu apate faida ili aendelee kufanya biashara hiyo. Inapotokea mtu hapati faida basi biashara yake itakufa.

Kumekuwa na tahadhari kutoka mitandao ya simu hasa Vodacom (M-Pesa) kwamba wakala ukimuwekea pesa mtu ambae yupo mbali hautalipwa kamisheni yako ya muamala huo. Hii inaweza kuwa sawa kwasababu za kibiashara lakini kwa mawakala hili ni tatizo kwasababu mtu anaweza kudanganya kuwa anaweka pesa kwenye simu yake kumbe anamtumia mtu wa mkoa mwingine tofauti na alipo (Kumbuka huwezi kumwambia mteja lete simu yako hapa nione kama SMS ya muamala unaingia kwako). Mwisho wa siku hii inakuwa imekula kwako wewe wakala kwa kukosa kamisheni yako.

Nini kifanyike?

Makampuni haya ya simu yatengeneze mfumo (Automatic Location Detection) ambao utawawezesha mawakala kupewa WARNING wakati wanaweka pesa kwa mteja kama yuko mbali simu ikutahadhalishe kwamba "mtu unaemuwekea hela yupo mbali na eneo lako hivyo hautalipwa kamisheni yako, kuendelea bonyeza labda "1" kusitisha muamala bonyeza "2".

Hii itasaidia kuwapatia kamisheni zinazostahili mawakala wanaowasaidia kuwafikishia huduma karibu na wananchi.

NAOMBA TUSAIDIE KUFIKISHA UJUMBE HUU SEHEMU HUSIKA.

ASANTE
Vitu vyengine ni ushamba tu! Benk unaweka fedha hata kama unaemuekea yupo shimoni tena kwa mawakala,hawa wamitandao masharti yakiwa mengi pigeni chini,tumia benk.wanacholenga wao uweke ktk simu ya aliekuja kukupa fedha ili amtumie yeye wamkate na yakumtumia kisha mpokeaji anapotaka kuitoa wamkate tena
 
Vitu vyengine ni ushamba tu! Benk unaweka fedha hata kama unaemuekea yupo shimoni tena kwa mawakala,hawa wamitandao masharti yakiwa mengi pigeni chini,tumia benk.wanacholenga wao uweke ktk simu ya aliekuja kukupa fedha ili amtumie yeye wamkate na yakumtumia kisha mpokeaji anapotaka kuitoa wamkate tena
Ndio hivyo na sisi wateja tumestuka kukatwa mara mbilimbili na gharama zenyewe mpaka pesa ifiki unakuta 8-10% ni makato

sasa dawa yao ni kushika namba kichwani na kutiririka huku ukiangalia angalia simu yako kama mtu anaesubiri kupigiwa kisha unaondoka zako
 
Habari wakuu.

Kuna changamoto ambayo mawakala wa huduma za kifedha kama vile M-pesa, Tigo pesa, Airtel money, Halopesa na T-Pesa wanazopitia hasa katika upande wa kufanya miamala. Lakini tatizo lipo sana upande wa M-pesa.

Nikiri kwamba kufanya miamala ni biashara kama biashara zingine duniani ambazo zinahitaji mtu apate faida ili aendelee kufanya biashara hiyo. Inapotokea mtu hapati faida basi biashara yake itakufa.

Kumekuwa na tahadhari kutoka mitandao ya simu hasa Vodacom (M-Pesa) kwamba wakala ukimuwekea pesa mtu ambae yupo mbali hautalipwa kamisheni yako ya muamala huo. Hii inaweza kuwa sawa kwasababu za kibiashara lakini kwa mawakala hili ni tatizo kwasababu mtu anaweza kudanganya kuwa anaweka pesa kwenye simu yake kumbe anamtumia mtu wa mkoa mwingine tofauti na alipo (Kumbuka huwezi kumwambia mteja lete simu yako hapa nione kama SMS ya muamala unaingia kwako). Mwisho wa siku hii inakuwa imekula kwako wewe wakala kwa kukosa kamisheni yako.

Nini kifanyike?

Makampuni haya ya simu yatengeneze mfumo (Automatic Location Detection) ambao utawawezesha mawakala kupewa WARNING wakati wanaweka pesa kwa mteja kama yuko mbali simu ikutahadhalishe kwamba "mtu unaemuwekea hela yupo mbali na eneo lako hivyo hautalipwa kamisheni yako, kuendelea bonyeza labda "1" kusitisha muamala bonyeza "2".

Hii itasaidia kuwapatia kamisheni zinazostahili mawakala wanaowasaidia kuwafikishia huduma karibu na wananchi.

NAOMBA TUSAIDIE KUFIKISHA UJUMBE HUU SEHEMU HUSIKA.

ASANTE
ni wizi
 
Habari wakuu.

Kuna changamoto ambayo mawakala wa huduma za kifedha kama vile M-pesa, Tigo pesa, Airtel money, Halopesa na T-Pesa wanazopitia hasa katika upande wa kufanya miamala. Lakini tatizo lipo sana upande wa M-pesa.

Nikiri kwamba kufanya miamala ni biashara kama biashara zingine duniani ambazo zinahitaji mtu apate faida ili aendelee kufanya biashara hiyo. Inapotokea mtu hapati faida basi biashara yake itakufa.

Kumekuwa na tahadhari kutoka mitandao ya simu hasa Vodacom (M-Pesa) kwamba wakala ukimuwekea pesa mtu ambae yupo mbali hautalipwa kamisheni yako ya muamala huo. Hii inaweza kuwa sawa kwasababu za kibiashara lakini kwa mawakala hili ni tatizo kwasababu mtu anaweza kudanganya kuwa anaweka pesa kwenye simu yake kumbe anamtumia mtu wa mkoa mwingine tofauti na alipo (Kumbuka huwezi kumwambia mteja lete simu yako hapa nione kama SMS ya muamala unaingia kwako). Mwisho wa siku hii inakuwa imekula kwako wewe wakala kwa kukosa kamisheni yako.

Nini kifanyike?

Makampuni haya ya simu yatengeneze mfumo (Automatic Location Detection) ambao utawawezesha mawakala kupewa WARNING wakati wanaweka pesa kwa mteja kama yuko mbali simu ikutahadhalishe kwamba "mtu unaemuwekea hela yupo mbali na eneo lako hivyo hautalipwa kamisheni yako, kuendelea bonyeza labda "1" kusitisha muamala bonyeza "2".

Hii itasaidia kuwapatia kamisheni zinazostahili mawakala wanaowasaidia kuwafikishia huduma karibu na wananchi.

NAOMBA TUSAIDIE KUFIKISHA UJUMBE HUU SEHEMU HUSIKA.

ASANTE
Hovyo kabisa hii .yaani mtu aliyoko mbali asitumiwe hela na wakala moja kwa moja sababu ni nini sasa,wizi au? yaani uingize kwako halafu utume tena,ili wakupige charge.hapa ndiyo wizi unapoanzia.
 
Ni kwamba hulipwi commission kwa hiyo transaction 1 au zote kwa mwezi husika au milele hawalipi??

Dadavua!

Everyday is Saturday.............................. :cool:
 
Tujifunze kufuata maelekezo tu...sio kulalamika...
mteja unaemtumia pesa awe na simu yake ili hata kama akisema haijafika iwe rahisi na wewe kuhakikisha...
'Training wanatoa bure, nenda branch ya voda karibu iliyo karibu yako au wakala mkuu wako atakupa training'...
hivyo ndio vigezo na masharti, uliyakubali..kwahiyo tufanye kazi
 
Back
Top Bottom