strong star
Member
- Jul 15, 2021
- 36
- 42
- Thread starter
- #41
Ni vizuri sana ata yeye atafanya kazi yao kwa raha na umoja ,mtaishi kwa amani sana ,! Kila la kheli endelea vivo hivyo.Sitaman binti yangu aondoke, nayeye ashasema hatamani kukua aondoke! She is good namm namfanyia wema mpaka anaogopa. Namsaidia kazi nkiwepo nyumbani, mshahara ontime analipwahaipiti tarehe, zawadi, uhuru, yaan jinsi navyoishi nae aisee!!! Ktk maisha yote ya kufanya kazi kwa watu am sure hatonisahau!