Changamoto wanazopitia wasaidizi wa kazi majumbani

strong star

Member
Jul 15, 2021
36
42
Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.

Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-

*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.

Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.

*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.

*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.

Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine

Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .

Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-

-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.

Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
 
Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.

Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-

*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.

Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.

*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.

*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.

Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine

Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .

Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-

-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.

Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
Sitaman binti yangu aondoke, nayeye ashasema hatamani kukua aondoke! She is good namm namfanyia wema mpaka anaogopa. Namsaidia kazi nkiwepo nyumbani, mshahara ontime analipwahaipiti tarehe, zawadi, uhuru, yaan jinsi navyoishi nae aisee!!! Ktk maisha yote ya kufanya kazi kwa watu am sure hatonisahau!
 
Hawa watu wanatusaidia sana Mungu awabariki kwakweli, hata tunachowapa ni kidogo mnoo kulingana na msaada wao, hamna cha kuwalipa kabisa.
Kabisa yaan, anabaki na mtoto/watoto asubuhi had jioni, anawatunza vizuri kabisa, anafanya kazi zote unarudi unakuta nyimba imetulia aisee wanafanya makubwa kuliko tunachowapa, zaidi basi tuwaondolee manyanyaso tuwape upendo wajikute wanafanya kama wako kwao wanawalea wadogo zao
 
Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.

Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-

*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.

Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.

*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.

*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.

Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine

Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .

Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-

-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.

Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
Baadhi ya famili huwatumia kama substitute ya "Mama mwenye nyumba akisafiri" nadhani nimeeleweka
 
Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.

Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-

*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.

Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.

*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.

*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.

Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine

Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .

Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-

-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.

Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
Ni kweli wasaidizi wa kazi za nyumbani huwa wanapitia magumu haswa wakikutan na mwajiri asie na utu

Hawa ni binaadamu na tunapoishi nao yatupasa kuwachukulia kama wanafamilia wetu, sioni sababu ya kuwanyanyasa

Pengine hii sekta ya wasaidizi wa nyumbani ingerasimishwa ili kupunguza tatizo
 
Kabisa yaan, anabaki na mtoto/watoto asubuhi had jioni, anawatunza vizuri kabisa, anafanya kazi zote unarudi unakuta nyimba imetulia aisee wanafanya makubwa kuliko tunachowapa, zaidi basi tuwaondolee manyanyaso tuwape upendo wajikute wanafanya kama wako kwao wanawalea wadogo zao
Mi wangu ananisaidia mno yani abarikiwe mno huyu binti, mwaka wa tano sasa nipo nae kanikuta nna mtoto mmoja sahivi watatu na wote amewalea yeye....yani hamna hata cha kumlipa huyu binti.
 
Mi wangu ananisaidia mno yani abarikiwe mno huyu binti, mwaka wa tano sasa nipo nae kanikuta nna mtoto mmoja sahivi watatu na wote amewalea yeye....yani hamna hata cha kumlipa huyu binti.
Hongera sana, sio wengi wanaoweza kukaa na wadada wa lazi muda mrefu, mimi nilikua na mtu mzima nimekaa nae zaidi ya miaka saba, mwaka huu nikaamuq kumpa mtaji na kumnunulia cherehani maana alikua na ujuzi wa kushona, nikamwambia akaanze maisha yake ingawa alikua hata, nikamuelewesha kwamba anatakiwa ajitegemee maisha yake ayasiishie kufa ya kazi kwangu maana ana familia inayomtazama
 
Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.

Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-

*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.

Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.

*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.

*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.

Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine

Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .

Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-

-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.

Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
unaongelea wasaidizi wa nchi zipi, uarabuni au hapahapa bongo? hapa bongo sisi tunakula chakula meza moja na housemaids, ni lazima apike wakasi wake zetu wamekaa kwasababu ndio ujira watalipwa kutokana na hilo, anatakiwa kufua, anatakiwa kuosha vyombo n a kupika. hayo yote ndio ameajiriwa nayo. cha msingi tu unatakiwa kumpa mshahara wa kutosha kulingana na uzito wa kazi. ukiona kazi nzito sana weka zaidi ya mmoja.

kwa hapa bongo, nijuavyo, unyanyasaji pekee uliopo ni kuwapatia mshahara mdogo. ila chakula wanakula safi, utu wanathaminika kwasababu tunawaita "dada" hatuwaiti housegirls, kwasababu kama ni derogatory words hata wahudumu maofisini ndio wanaongoza kudharauliwa (wafagizi, wapukuta meza n.k) wanadharaulika pia. dharau au kutokuwa na dharau ni utu mtu anazaliwa nao, treat others the way you would want them to treat you if you were them. kwa housemaids hawa wa hapa kwetu, nakuhakikishia ukimtreat vibaya utakuja kuta mtoto wako kweney fridge na yeye kasepa, au atalipiza kisasi kwa mtoto wako ndio maana wamama wapo makini sana kuwatreat vyema watu wanaoishi na watoto wao wakati wao wameenda kazini.
 
Hongera sana, sio wengi wanaoweza kukaa na wadada wa lazi muda mrefu, mimi nilikua na mtu mzima nimekaa nae zaidi ya miaka saba, mwaka huu nikaamuq kumpa mtaji na kumnunulia cherehani maana alikua na ujuzi wa kushona, nikamwambia akaanze maisha yake ingawa alikua hata, nikamuelewesha kwamba anatakiwa ajitegemee maisha yake ayasiishie kufa ya kazi kwangu maana ana familia inayomtazama
Huyu ataondoka baada ya miaka miwili, kwakweli inabidi nimpe walau uelekeo wa maisha kuna vitu nimemnunulia ila najihisi bado ni kidogo sana....Mungu ajaalie uzima tu
 
Huyu ataondoka baada ya miaka miwili, kwakweli inabidi nimpe walau uelekeo wa maisha kuna vitu nimemnunulia ila najihisi bado ni kidogo sana....Mungu ajaalie uzima tu
binafsi yangu, housegirl yeyote akiwa kwangu huwa nakaa kwa machale kugombana na waifu. manake huwa namtreat kama mtoto wangu tu na nilivyo na roho nzuri hadi waifu huwa anatilia mashaka hasa pale dada anapoanza kunawiri. kwahiyo huwa natakiwa kukaa kwa akili sana.
 
tatizo ni wamama wavivu na wale wanaowaajiri kwa fasion, ndio wanatuangusha.

limama vivu, zembe, na gubu hata kwa mumewe ndio huwa yanatesa sana watoto wa watu.

na yale yanayotaja kuonekana lina mfanyakazi, wakati hela halina.ndio chanzo kingine cha ufujaji wa utu wa hawa watu.

sisi kama wababa tunasemajee, tutaendelea kuwapa vyeo vyote kama mmeamua kuwaacha watujue vyema kwa kutuhudumia.
 
tatizo ni wamama wavivu na wale wanaowaajiri kwa fasion, ndio wanatuangusha.

limama vivu, zembe, na gubu hata kwa mumewe ndio huwa yanatesa sana watoto wa watu.

na yale yanayotaja kuonekana lina mfanyakazi, wakati hela halina.ndio chanzo kingine cha ufujaji wa utu wa hawa watu.

sisi kama wababa tunasemajee, tutaendelea kuwapa vyeo vyote kama mmeamua kuwaacha watujue vyema kwa kutuhudumia.
Hapa ni pa kukazia Sana Kuna wamama ni wavivu kupitiliza na ndiyo huwanyanyasa wadada wa kazi na kuwa hisi vibaya,
na mwanamke yoyote mvivu ujue ni mchafu na uchafu na mapenzi haviendani ndiyo kutwa kuwahisi dada wa kazi wanatoka na waume zao kumbe wp ni wao kutokujiamini.
 
Back
Top Bottom