Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,469
Baada ya kuona mategemeo yao ya kuziwekea vikwazo vya kikodi (Tariffs) bidhaa zinazoingizwa nchini Marekani kutokea china hayafikii malengo, Serikali ya Marekani imegundua wizi wa kukwepa vikwazo unaofanywa na Uchina.
Mategemeo ya Wamarekani ilikuwa ni kuona udhalishaji nchini China kushuka kwa kukosa soko la Marekani sababu ya bei za bidhaa zao kupanda na kuyapa mataifa mengine fursa ya kuzalisha na kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu nchini marekani sababu hazina matariffs.
Hii imekuwa ni kinyume, sababu uchumi wa China umeonekana kuendelea kukua japo kwa mdororo kidogo sana, huku China ikiendelea kuonyesha uwezo wa kuhimili vikwazo hivyo kwa muda mrefu.
Sasa imebainika hata kwenye hili wachina wanaiba, taarifa za kibiashara zinaonyesha wakati huko marekani manunuzi ya bidhaa zikizowekewa vikwazo kutoka nchini china yameshuka.
Mauzo ya bidhaa hizo hizo kutoka China kwenda nchini Taiwani yameongezeka,
wakati huo huo manunuzi ya bidhaa hizo hizo huko nchini marekani kutokana nchini Taiwani yameongezeka.
Maana yake, wachina wanapeleka bidhaa zao nchini Taiwani, zikifika huko zinabadirishwa documentations na kuonekana zimezarishwa nchini humo (Taiwani) alafu zinauzwa kwenda marekani huku Taiwani ikionekana kana Country of Origin. Marekani anakuwa looser kwenye matariffs yake.
Sasa wao acha waendelee na Mapambano.
Hoja yangu ni kwamba wizi wa namna hii uko hata hapa hapa nchini kwetu na ndio kilikuwa chanzo cha Mpango wa Marekani kusaidia nchi zinazoendelea kupiga hatua ya maendeleo kwa kuwa nchi za viwanda katika mpango wake wa AGOA kutozaa matunda.
Hapa nyumbani vipo viwanda vya wachina ambavyo viko katika export processing zones, malengo ya viwanda hivi ni kuongeza ajira pamoja na kusaidia ukuzaji wa thamani wa marighafi zinazopatikana nchini.
sasa wachina hawa, well pamoja na wahindi, kwa kushirikiana na baadhi ya vigogo serikali wanatumia mwanya wa uzembe na ujinga katika uendeshaji wa bandari zetu hasa ya Zanzibar wanaagiza bidhaa zilizotengezwa nje ya nchi, hasa india na uchina, wanazileta hapa alafu wanabadirisha makaratasi alafu zinaondoka kuelekea marekani n.k kisha tunareport export growths huku sisi wapinzani wa serikali za CCM tukisema data ni fake sababu ukuaji huo wa exports hauendani na ukuaji wa ajira wa nafuu ya kiuchumi wa wazalishaji wa marighafi.
Serikali itupie macho swala hili, ama sivyo Tanzania ya viwanda itakuwa Tanzania ya vi wonder.
Mategemeo ya Wamarekani ilikuwa ni kuona udhalishaji nchini China kushuka kwa kukosa soko la Marekani sababu ya bei za bidhaa zao kupanda na kuyapa mataifa mengine fursa ya kuzalisha na kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu nchini marekani sababu hazina matariffs.
Hii imekuwa ni kinyume, sababu uchumi wa China umeonekana kuendelea kukua japo kwa mdororo kidogo sana, huku China ikiendelea kuonyesha uwezo wa kuhimili vikwazo hivyo kwa muda mrefu.
Sasa imebainika hata kwenye hili wachina wanaiba, taarifa za kibiashara zinaonyesha wakati huko marekani manunuzi ya bidhaa zikizowekewa vikwazo kutoka nchini china yameshuka.
Mauzo ya bidhaa hizo hizo kutoka China kwenda nchini Taiwani yameongezeka,
wakati huo huo manunuzi ya bidhaa hizo hizo huko nchini marekani kutokana nchini Taiwani yameongezeka.
Maana yake, wachina wanapeleka bidhaa zao nchini Taiwani, zikifika huko zinabadirishwa documentations na kuonekana zimezarishwa nchini humo (Taiwani) alafu zinauzwa kwenda marekani huku Taiwani ikionekana kana Country of Origin. Marekani anakuwa looser kwenye matariffs yake.
Sasa wao acha waendelee na Mapambano.
Hoja yangu ni kwamba wizi wa namna hii uko hata hapa hapa nchini kwetu na ndio kilikuwa chanzo cha Mpango wa Marekani kusaidia nchi zinazoendelea kupiga hatua ya maendeleo kwa kuwa nchi za viwanda katika mpango wake wa AGOA kutozaa matunda.
Hapa nyumbani vipo viwanda vya wachina ambavyo viko katika export processing zones, malengo ya viwanda hivi ni kuongeza ajira pamoja na kusaidia ukuzaji wa thamani wa marighafi zinazopatikana nchini.
sasa wachina hawa, well pamoja na wahindi, kwa kushirikiana na baadhi ya vigogo serikali wanatumia mwanya wa uzembe na ujinga katika uendeshaji wa bandari zetu hasa ya Zanzibar wanaagiza bidhaa zilizotengezwa nje ya nchi, hasa india na uchina, wanazileta hapa alafu wanabadirisha makaratasi alafu zinaondoka kuelekea marekani n.k kisha tunareport export growths huku sisi wapinzani wa serikali za CCM tukisema data ni fake sababu ukuaji huo wa exports hauendani na ukuaji wa ajira wa nafuu ya kiuchumi wa wazalishaji wa marighafi.
Serikali itupie macho swala hili, ama sivyo Tanzania ya viwanda itakuwa Tanzania ya vi wonder.