General relativity
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 462
- 682
Bwashee kwani huyo Waziri wa afya anawajibika kwa Kiongozi Mkuu wa chama chake, au kwa Rais aliye mteua? Mbona unaanzisha mada chonganishi?
Anawajibika kwa sera za chama pia, ameipata hiyo nafasi kupitia chama