Changamoto gani umewahi kukumbana nayo katika uchimbaji wa dhahabu?

Doctor Stranger

JF-Expert Member
Oct 31, 2020
4,202
6,143
Kwa upande wangu nimenusurika kifo zaidi ya mara tano

1. Kuangukiwa na kifusi; nilipona kwa sababu ilikua zamu yangu kununua mafuta kwahiyo nilitoka kwenda kununua kijijini. Mwenzetu mmoja alibaki kwenye shimo alifukiwa akafariki.

2. Kuvamiwa na majambazi, walitushambulia na bunduki ingawa hamna aliyedhurika

Sitaelezea yote maana ni mengi mno!
 
ina pesa kama utakua una nunua mashimo
Kwenye kununua mashimo ndio nilipopigwa! Wanakudanganya kua yanazalisha hadi 17 au 18g per bag na kwamba eti mwamba uko few meters tu chini. Unajikuta unaingia mikataba ya kugharamia kazi na mtu mwenye claim na pia wanachama. Mwisho wa siku unakuta kumbe ni just 0.5g per bag!!!! Baadae wasamaria wanakwambia ulidanganywa kuhusu production ya shimo!

Kwenye kununua mchanga ndio nilianza napo, na hapo nilizamisha pesa nyiingi sana na sikutaka kurudi mpaka nilipokutana na walionishawishi kununua mashimo
 
Kwenye kununua mashimo ndio nilipopigwa! Wanakudanganya kua yanazalisha hadi 17 au 18g per bag na kwamba eti mwamba uko few meters tu chini. Unajikuta unaingia mikataba ya kugharamia kazi na mtu mwenye claim na pia wanachama. Mwisho wa siku unakuta kumbe ni just 0.5g per bag!!!! Baadae wasamaria wanakwambia ulidanganywa kuhusu production ya shimo!

Kwenye kununua mchanga ndio nilianza napo, na hapo nilizamisha pesa nyiingi sana na sikutaka kurudi mpaka nilipokutana na walionishawishi kununua mashimo
Kabla ya kununua shimo unachukua kipande cha mwamba then una angalia sample
 
Ndugu yangu kule kuna ujanja mwingi sana. Unafanya yote lakini mwisho wa siku unakutana na bonge la surprise. Au hiyo ni biashara ya mashetani?
Mkuu machimbo bila kutumia uchawi kutoboa ngumu' ma boss wana wekeza sana kwa waganga!

Wenzetu walituambia usipotumia dawa unakua ni kama unamfanyia kazi mtu mwengine! Na ni kweli, imagine mtu upo 2 months unaishia kupanta point 2 au tano. Shimo la wenzenu wana mwaga dawa after 2 wiki mgao wa M5.
 
Kwenye kununua mashimo ndio nilipopigwa! Wanakudanganya kua yanazalisha hadi 17 au 18g per bag na kwamba eti mwamba uko few meters tu chini. Unajikuta unaingia mikataba ya kugharamia kazi na mtu mwenye claim na pia wanachama. Mwisho wa siku unakuta kumbe ni just 0.5g per bag!!!! Baadae wasamaria wanakwambia ulidanganywa kuhusu production ya shimo!

Kwenye kununua mchanga ndio nilianza napo, na hapo nilizamisha pesa nyiingi sana na sikutaka kurudi mpaka nilipokutana na walionishawishi kununua mashimo
Siku hizi wanafanya kitaalamu, unachukua sampo na kujiridhisha maabara Kama Ni kweli Tena kwa Bei Chee tu.
 
Kwenye kununua mashimo ndio nilipopigwa! Wanakudanganya kua yanazalisha hadi 17 au 18g per bag na kwamba eti mwamba uko few meters tu chini. Unajikuta unaingia mikataba ya kugharamia kazi na mtu mwenye claim na pia wanachama. Mwisho wa siku unakuta kumbe ni just 0.5g per bag!!!! Baadae wasamaria wanakwambia ulidanganywa kuhusu production ya shimo!

Kwenye kununua mchanga ndio nilianza napo, na hapo nilizamisha pesa nyiingi sana na sikutaka kurudi mpaka nilipokutana na walionishawishi kununua mashimo
Nadhani ungepiga mwamba chabo zaidi ya mara tano siku tofauti na vijana watano tofauti wasiohusika na mgodi huo kisha ungechukua /ungenunua mfuko mmoja, ukasage garashani na kupembua uone ni kiasi gani kinapatikana per bag. Ulitakiwa kutomwamini yeyote! Pole sana ndugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom