Changamoto gani ulikutananazo ulivyo feli shule

Eizyek

JF-Expert Member
Aug 12, 2019
800
2,767
Habari za asubuhi wakuu, uzi huu ni kwa ajili ya kupeana moyo kwamba kufeli shule sio kufeli maisha,

Nakumbuka niligeuka house boy nyumbani kazi zote nilifanya mimi hadi kuosha vyombo huku madogo wamekaa tu kilikuwa kipindi kigumu kwangu, ila Mungu hakunyimi vyote mtaani kumenifaa sa hivi nikienda nyumbani naitwa baba.
 
Nilivofeli skuli ht ukitembea njiani hujiamini unadhani kama vile wazazi wanakufatilia wakidhani kuna mahali ulikuwa unaenda tofauti na skul
 
Mimi sitasahau mwaka huo 2005 matokeo ya kidato cha sita yalipotoka. Katika rafiki zangu wote niliokua najisomea nao ni mimi tu nilipata zero na ilikua mchepuo wa sayansi.

Mimi ndie nilie waangalizia matokeo rafiki zangu wote. Na nikayaandika kwenye karatasi. Nikawapeleke pale geto tulipokua tunaishi wote. Wenzangu wote walifanya vizuri na mimi nikiri tu kwamba ni kweli nilifeli halali. Na si kwamb sikupenda shule, no, ila hali ya nyumbani ndio iliyonifanya nisome kwa shida.

Wenzangu walifurahi sana na wakanofariji kwmba naweza kurudia pepa mwaka unaofata. Nilifarijika kweli na nikaona kawaida hasa ukizingatia mimi mwenyewe niliyategemea matokeo kama yale.

Siku ya siku wenzangu wakaanza kuapply vyuo mbalimbali n baada ya muda wote wakasafiri kwenda Dar kwa ajili ya matriculation exams. Pale mtaani nikabaki mimi peke yangu sina rafiki tena wala simu sina wala kibarua chochote sina, yaani sina chochote cha kujishughulisha nacho ili mradi nisiboreke.

Hiyo hali ya upweke ikazidi kunielemea kadri siku zinavyozidi kwenda. Jua kali sina hela na nyumbani pako hovyo kabisa na mimi ndio mkubwa.

Nakumbuka nilienda mbali na nyumbani vichakani huko, nikalia wee na nikamuomba Mungu anifungulie njia. Baadae nikarudi home na kumwomba mama yangu anitafutie popote pale sh 20,000 ili nilipie NECTA kuresit pepa 2006.

Kweli mama aliipata na nikakamilisha hilo suala.

Nikaanza kujisomea tena kujiandaa na pepa hilo. Hapo sijui cha twisheni wala nini. Nasoma peke yangu tu wenzangu hawapo tena. Nakumbuka wakati huo mzee wangu kaspend kama miezi miwili hospitali na mimi ndie niliekua nalala nae huko namuuguza. Mzee akilala usiku ndio mimi naanza kukamua.

Mpaka mzee anatoka hospital hali yake ilikua bado si nzuri (aliugua kiharusi)
Baada ya kuona mzee hata hanikumbuki na hakumbuki mtu yoyote, kula kwake na dawa zake ni shida, nilikaa n kutafakari kwa kina nikaamua kwa dhati ya moyo wangu kuachana na mambo ya shule niingie rasmi mtaani.

Mama yangu alihuzunika sana hasa alipoikumbuka ile alfu 20 alonipa. Ila mwishoe alinipa baraka zote.

Nakumbuka baada ya mamuzi hayo tu, kesho yake nikakutana na jamaa mmoja tuliemaliza nae form six, akanipa dili moja mjomba wake alikua anatafuta mtu wa kusimamia mradi wake flani Dar-es-alaam. Kweli nikabahatika kupata hiyo dili siku tatu baadae nikaenda Dar na kuifanya kazi hiyo kwa muda wa miezi sita.

Kwa muda huo nilifanikiwa kukusanya pesa na nilishajiapiza nikipata hela katika hekaheka zangu ningerudi shule upya.

Mwaka 2006 mwezi wa 6 nikajiunga na shule flani, nikakaa bweni na nikamwambia kabisa mwalimu wangu wa darasa kwamba mimi narudia shule na nikamsimulia yote niliyopitia hivyo anipe msaada wa kutosha nifanikiwe kweli kweli.

Nilisoma kwa bidii sana na bahati nzuri nikapata na msaada mwingine kwa ndugu zangu waliokua wanaishi Dar. Nilimaliza salama ingawa vikwazo vilikua vingi lakini this time nikasema sitakubali vinizuie.

Matokea yalipotoka 2008 nilikua nna div 2.12 PCM na ni private candidate.
Huo ndio ukawa mlango wangu. Kwa sasa nafanya kazi na kampuni moja kubwa ya simu hapa Dar na ninafamilia yangu ya mke na watoto wawili.

Namshukuru sana Mungu. Ila hakuna kipindi kibaya kama cha matokeo hasa ukiwa umefeli.
Asanteni
 
Mimi sitasahau mwaka huo 2005 matokeo ya kidato cha sita yalipotoka. Katika rafiki zangu wote niliokua najisomea nao ni mimi tu nilipata zero na ilikua mchepuo wa sayansi.
Mimi ndie nilie waangalizia matokeo rafiki zangu wote. Na nikayaandika kwenye karatasi. Nikawapeleke pale geto tulipokua tunaishi wote. Wenzangu wote walifanya vizuri na mimi nikiri tu kwamba ni kweli nilifeli halali. Na si kwamb sikupenda shule, no, ila hali ya nyumbani ndio iliyonifanya nisome kwa shida.
Wenzangu walifurahi sana na wakanofariji kwmba naweza kurudia pepa mwaka unaofata. Nilifarijika kweli na nikaona kawaida hasa ukizingatia mimi mwenyewe niliyategemea matokeo kama yale.
Siku ya siku wenzangu wakaanza kuapply vyuo mbalimbali n baada ya muda wote wakasafiri kwenda Dar kwa ajili ya matriculation exams. Pale mtaani nikabaki mimi peke yangu sina rafiki tena wala simu sina wala kibarua chochote sina, yaani sina chochote cha kujishughulisha nacho ili mradi nisiboreke.
Hiyo hali ya upweke ikazidi kunielemea kadri siku zinavyozidi kwenda. Jua kali sina hela na nyumbani pako hovyo kabisa na mimi ndio mkubwa.
Nakumbuka nilienda mbali na nyumbani vichakani huko, nikalia wee na nikamuomba Mungu anifungulie njia. Baadae nikarudi home na kumwomba mama yangu anitafutie popote pale sh 20,000 ili nilipie NECTA kuresit pepa 2006.
Kweli mama aliipata na nikakamilisha hilo suala.
Nikaanza kujisomea tena kujiandaa na pepa hilo. Hapo sijui cha twisheni wala nini. Nasoma peke yangu tu wenzangu hawapo tena. Nakumbuka wakati huo mzee wangu kaspend kama miezi miwili hospitali na mimi ndie niliekua nalala nae huko namuuguza. Mzee akilala usiku ndio mimi naanza kukamua.
Mpaka mzee anatoka hospital hali yake ilikua bado si nzuri (aliugua kiharusi)
Baada ya kuona mzee hata hanikumbuki na hakumbuki mtu yoyote, kula kwake na dawa zake ni shida, nilikaa n kutafakari kwa kina nikaamua kwa dhati ya moyo wangu kuachana na mambo ya shule niingie rasmi mtaani.
Mama yangu alihuzunika sana hasa alipoikumbuka ile alfu 20 alonipa. Ila mwishoe alinipa baraka zote.
Nakumbuka baada ya mamuzi hayo tu, kesho yake nikakutana na jamaa mmoja tuliemaliza nae form six, akanipa dili moja mjomba wake alikua anatafuta mtu wa kusimamia mradi wake flani Dar-es-alaam. Kweli nikabahatika kupata hiyo dili siku tatu baadae nikaenda Dar na kuifanya kazi hiyo kwa muda wa miezi sita.
Kwa muda huo nilifanikiwa kukusanya pesa na nilishajiapiza nikipata hela katika hekaheka zangu ningerudi shule upya.
Mwaka 2006 mwezi wa 6 nikajiunga na shule flani, nikakaa bweni na nikamwambia kabisa mwalimu wangu wa darasa kwamba mimi narudia shule na nikamsimulia yote niliyopitia hivyo anipe msaada wa kutosha nifanikiwe kweli kweli.
Nilisoma kwa bidii sana na bahati nzuri nikapata na msaada mwingine kwa ndugu zangu waliokua wanaishi Dar. Nilimaliza salama ingawa vikwazo vilikua vingi lakini this time nikasema sitakubali vinizuie.
Matokea yalipotoka 2008 nilikua nna div 2.12 PCM na ni private candidate.
Huo ndio ukawa mlango wangu. Kwa sasa nafanya kazi na kampuni moja kubwa ya simu hapa Dar na ninafamilia yangu ya mke na watoto wawili.
Namshukuru sana Mungu. Ila hakuna kipindi kibaya kama cha matokeo hasa ukiwa umefeli.
Asanteni
Tisha sana mkuu
 
Mimi sitasahau mwaka huo 2005 matokeo ya kidato cha sita yalipotoka. Katika rafiki zangu wote niliokua najisomea nao ni mimi tu nilipata zero na ilikua mchepuo wa sayansi.
Mimi ndie nilie waangalizia matokeo rafiki zangu wote. Na nikayaandika kwenye karatasi. Nikawapeleke pale geto tulipokua tunaishi wote. Wenzangu wote walifanya vizuri na mimi nikiri tu kwamba ni kweli nilifeli halali. Na si kwamb sikupenda shule, no, ila hali ya nyumbani ndio iliyonifanya nisome kwa shida.
Wenzangu walifurahi sana na wakanofariji kwmba naweza kurudia pepa mwaka unaofata. Nilifarijika kweli na nikaona kawaida hasa ukizingatia mimi mwenyewe niliyategemea matokeo kama yale.
Siku ya siku wenzangu wakaanza kuapply vyuo mbalimbali n baada ya muda wote wakasafiri kwenda Dar kwa ajili ya matriculation exams. Pale mtaani nikabaki mimi peke yangu sina rafiki tena wala simu sina wala kibarua chochote sina, yaani sina chochote cha kujishughulisha nacho ili mradi nisiboreke.
Hiyo hali ya upweke ikazidi kunielemea kadri siku zinavyozidi kwenda. Jua kali sina hela na nyumbani pako hovyo kabisa na mimi ndio mkubwa.
Nakumbuka nilienda mbali na nyumbani vichakani huko, nikalia wee na nikamuomba Mungu anifungulie njia. Baadae nikarudi home na kumwomba mama yangu anitafutie popote pale sh 20,000 ili nilipie NECTA kuresit pepa 2006.
Kweli mama aliipata na nikakamilisha hilo suala.
Nikaanza kujisomea tena kujiandaa na pepa hilo. Hapo sijui cha twisheni wala nini. Nasoma peke yangu tu wenzangu hawapo tena. Nakumbuka wakati huo mzee wangu kaspend kama miezi miwili hospitali na mimi ndie niliekua nalala nae huko namuuguza. Mzee akilala usiku ndio mimi naanza kukamua.
Mpaka mzee anatoka hospital hali yake ilikua bado si nzuri (aliugua kiharusi)
Baada ya kuona mzee hata hanikumbuki na hakumbuki mtu yoyote, kula kwake na dawa zake ni shida, nilikaa n kutafakari kwa kina nikaamua kwa dhati ya moyo wangu kuachana na mambo ya shule niingie rasmi mtaani.
Mama yangu alihuzunika sana hasa alipoikumbuka ile alfu 20 alonipa. Ila mwishoe alinipa baraka zote.
Nakumbuka baada ya mamuzi hayo tu, kesho yake nikakutana na jamaa mmoja tuliemaliza nae form six, akanipa dili moja mjomba wake alikua anatafuta mtu wa kusimamia mradi wake flani Dar-es-alaam. Kweli nikabahatika kupata hiyo dili siku tatu baadae nikaenda Dar na kuifanya kazi hiyo kwa muda wa miezi sita.
Kwa muda huo nilifanikiwa kukusanya pesa na nilishajiapiza nikipata hela katika hekaheka zangu ningerudi shule upya.
Mwaka 2006 mwezi wa 6 nikajiunga na shule flani, nikakaa bweni na nikamwambia kabisa mwalimu wangu wa darasa kwamba mimi narudia shule na nikamsimulia yote niliyopitia hivyo anipe msaada wa kutosha nifanikiwe kweli kweli.
Nilisoma kwa bidii sana na bahati nzuri nikapata na msaada mwingine kwa ndugu zangu waliokua wanaishi Dar. Nilimaliza salama ingawa vikwazo vilikua vingi lakini this time nikasema sitakubali vinizuie.
Matokea yalipotoka 2008 nilikua nna div 2.12 PCM na ni private candidate.
Huo ndio ukawa mlango wangu. Kwa sasa nafanya kazi na kampuni moja kubwa ya simu hapa Dar na ninafamilia yangu ya mke na watoto wawili.
Namshukuru sana Mungu. Ila hakuna kipindi kibaya kama cha matokeo hasa ukiwa umefeli.
Asanteni
Mfano halisi wa ile kauli "from zero to hero"
Kudos Mkuu, Mungu azidi kukufanikisha zaidi.
 
Mimi sitasahau mwaka huo 2005 matokeo ya kidato cha sita yalipotoka. Katika rafiki zangu wote niliokua najisomea nao ni mimi tu nilipata zero na ilikua mchepuo wa sayansi.
Mimi ndie nilie waangalizia matokeo rafiki zangu wote. Na nikayaandika kwenye karatasi. Nikawapeleke pale geto tulipokua tunaishi wote. Wenzangu wote walifanya vizuri na mimi nikiri tu kwamba ni kweli nilifeli halali. Na si kwamb sikupenda shule, no, ila hali ya nyumbani ndio iliyonifanya nisome kwa shida.
Wenzangu walifurahi sana na wakanofariji kwmba naweza kurudia pepa mwaka unaofata. Nilifarijika kweli na nikaona kawaida hasa ukizingatia mimi mwenyewe niliyategemea matokeo kama yale.
Siku ya siku wenzangu wakaanza kuapply vyuo mbalimbali n baada ya muda wote wakasafiri kwenda Dar kwa ajili ya matriculation exams. Pale mtaani nikabaki mimi peke yangu sina rafiki tena wala simu sina wala kibarua chochote sina, yaani sina chochote cha kujishughulisha nacho ili mradi nisiboreke.
Hiyo hali ya upweke ikazidi kunielemea kadri siku zinavyozidi kwenda. Jua kali sina hela na nyumbani pako hovyo kabisa na mimi ndio mkubwa.
Nakumbuka nilienda mbali na nyumbani vichakani huko, nikalia wee na nikamuomba Mungu anifungulie njia. Baadae nikarudi home na kumwomba mama yangu anitafutie popote pale sh 20,000 ili nilipie NECTA kuresit pepa 2006.
Kweli mama aliipata na nikakamilisha hilo suala.
Nikaanza kujisomea tena kujiandaa na pepa hilo. Hapo sijui cha twisheni wala nini. Nasoma peke yangu tu wenzangu hawapo tena. Nakumbuka wakati huo mzee wangu kaspend kama miezi miwili hospitali na mimi ndie niliekua nalala nae huko namuuguza. Mzee akilala usiku ndio mimi naanza kukamua.
Mpaka mzee anatoka hospital hali yake ilikua bado si nzuri (aliugua kiharusi)
Baada ya kuona mzee hata hanikumbuki na hakumbuki mtu yoyote, kula kwake na dawa zake ni shida, nilikaa n kutafakari kwa kina nikaamua kwa dhati ya moyo wangu kuachana na mambo ya shule niingie rasmi mtaani.
Mama yangu alihuzunika sana hasa alipoikumbuka ile alfu 20 alonipa. Ila mwishoe alinipa baraka zote.
Nakumbuka baada ya mamuzi hayo tu, kesho yake nikakutana na jamaa mmoja tuliemaliza nae form six, akanipa dili moja mjomba wake alikua anatafuta mtu wa kusimamia mradi wake flani Dar-es-alaam. Kweli nikabahatika kupata hiyo dili siku tatu baadae nikaenda Dar na kuifanya kazi hiyo kwa muda wa miezi sita.
Kwa muda huo nilifanikiwa kukusanya pesa na nilishajiapiza nikipata hela katika hekaheka zangu ningerudi shule upya.
Mwaka 2006 mwezi wa 6 nikajiunga na shule flani, nikakaa bweni na nikamwambia kabisa mwalimu wangu wa darasa kwamba mimi narudia shule na nikamsimulia yote niliyopitia hivyo anipe msaada wa kutosha nifanikiwe kweli kweli.
Nilisoma kwa bidii sana na bahati nzuri nikapata na msaada mwingine kwa ndugu zangu waliokua wanaishi Dar. Nilimaliza salama ingawa vikwazo vilikua vingi lakini this time nikasema sitakubali vinizuie.
Matokea yalipotoka 2008 nilikua nna div 2.12 PCM na ni private candidate.
Huo ndio ukawa mlango wangu. Kwa sasa nafanya kazi na kampuni moja kubwa ya simu hapa Dar na ninafamilia yangu ya mke na watoto wawili.
Namshukuru sana Mungu. Ila hakuna kipindi kibaya kama cha matokeo hasa ukiwa umefeli.
Asanteni
Safi sana, mungu hakukutupa alikupa mtihani wa kusubiri na uvumilivu tu na ukaufaulu na inawezekana waliofaulu kipindi we umefeli umewaacha mbali tu sasa hivi.
 
Mimi sitasahau mwaka huo 2005 matokeo ya kidato cha sita yalipotoka. Katika rafiki zangu wote niliokua najisomea nao ni mimi tu nilipata zero na ilikua mchepuo wa sayansi.

Mimi ndie nilie waangalizia matokeo rafiki zangu wote. Na nikayaandika kwenye karatasi. Nikawapeleke pale geto tulipokua tunaishi wote. Wenzangu wote walifanya vizuri na mimi nikiri tu kwamba ni kweli nilifeli halali. Na si kwamb sikupenda shule, no, ila hali ya nyumbani ndio iliyonifanya nisome kwa shida.

Wenzangu walifurahi sana na wakanofariji kwmba naweza kurudia pepa mwaka unaofata. Nilifarijika kweli na nikaona kawaida hasa ukizingatia mimi mwenyewe niliyategemea matokeo kama yale.

Siku ya siku wenzangu wakaanza kuapply vyuo mbalimbali n baada ya muda wote wakasafiri kwenda Dar kwa ajili ya matriculation exams. Pale mtaani nikabaki mimi peke yangu sina rafiki tena wala simu sina wala kibarua chochote sina, yaani sina chochote cha kujishughulisha nacho ili mradi nisiboreke.

Hiyo hali ya upweke ikazidi kunielemea kadri siku zinavyozidi kwenda. Jua kali sina hela na nyumbani pako hovyo kabisa na mimi ndio mkubwa.

Nakumbuka nilienda mbali na nyumbani vichakani huko, nikalia wee na nikamuomba Mungu anifungulie njia. Baadae nikarudi home na kumwomba mama yangu anitafutie popote pale sh 20,000 ili nilipie NECTA kuresit pepa 2006.

Kweli mama aliipata na nikakamilisha hilo suala.

Nikaanza kujisomea tena kujiandaa na pepa hilo. Hapo sijui cha twisheni wala nini. Nasoma peke yangu tu wenzangu hawapo tena. Nakumbuka wakati huo mzee wangu kaspend kama miezi miwili hospitali na mimi ndie niliekua nalala nae huko namuuguza. Mzee akilala usiku ndio mimi naanza kukamua.

Mpaka mzee anatoka hospital hali yake ilikua bado si nzuri (aliugua kiharusi)
Baada ya kuona mzee hata hanikumbuki na hakumbuki mtu yoyote, kula kwake na dawa zake ni shida, nilikaa n kutafakari kwa kina nikaamua kwa dhati ya moyo wangu kuachana na mambo ya shule niingie rasmi mtaani.

Mama yangu alihuzunika sana hasa alipoikumbuka ile alfu 20 alonipa. Ila mwishoe alinipa baraka zote.

Nakumbuka baada ya mamuzi hayo tu, kesho yake nikakutana na jamaa mmoja tuliemaliza nae form six, akanipa dili moja mjomba wake alikua anatafuta mtu wa kusimamia mradi wake flani Dar-es-alaam. Kweli nikabahatika kupata hiyo dili siku tatu baadae nikaenda Dar na kuifanya kazi hiyo kwa muda wa miezi sita.

Kwa muda huo nilifanikiwa kukusanya pesa na nilishajiapiza nikipata hela katika hekaheka zangu ningerudi shule upya.

Mwaka 2006 mwezi wa 6 nikajiunga na shule flani, nikakaa bweni na nikamwambia kabisa mwalimu wangu wa darasa kwamba mimi narudia shule na nikamsimulia yote niliyopitia hivyo anipe msaada wa kutosha nifanikiwe kweli kweli.

Nilisoma kwa bidii sana na bahati nzuri nikapata na msaada mwingine kwa ndugu zangu waliokua wanaishi Dar. Nilimaliza salama ingawa vikwazo vilikua vingi lakini this time nikasema sitakubali vinizuie.

Matokea yalipotoka 2008 nilikua nna div 2.12 PCM na ni private candidate.
Huo ndio ukawa mlango wangu. Kwa sasa nafanya kazi na kampuni moja kubwa ya simu hapa Dar na ninafamilia yangu ya mke na watoto wawili.

Namshukuru sana Mungu. Ila hakuna kipindi kibaya kama cha matokeo hasa ukiwa umefeli.
Asanteni
Duuuuuh poleeeh sanaaah, na inaumiza ila hongera pia umeweza kufanikiwa zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom