Engineermjanja
Member
- Oct 29, 2020
- 77
- 106
Habari wanandugu.
Maisha yana changamoto nyingi sana. ila leo nataka tujadili juu ya changamoto tunazozipata juu ya ajira zetu na kupelekea hata kuacha kazi yenyewe.
Mimi binafsi kama Engineer mjanja niliachana na ajira yangu ya kwanza sababu ya maslahi nafanya kazi kubwa tofauti na ninachokipa na kila nikimpanga boss anajifanya anielewi nikaforce kutafta kazi kwingine nilivopata ndiyo nikaacha kazi ila mpaka leo wafanya kazi wenzangu wananikubali na wanaona pengo langu.
Wadau karibuni kazi uzi huu tupeane changamoto zinazofanya tuache kazi.
Maisha yana changamoto nyingi sana. ila leo nataka tujadili juu ya changamoto tunazozipata juu ya ajira zetu na kupelekea hata kuacha kazi yenyewe.
Mimi binafsi kama Engineer mjanja niliachana na ajira yangu ya kwanza sababu ya maslahi nafanya kazi kubwa tofauti na ninachokipa na kila nikimpanga boss anajifanya anielewi nikaforce kutafta kazi kwingine nilivopata ndiyo nikaacha kazi ila mpaka leo wafanya kazi wenzangu wananikubali na wanaona pengo langu.
Wadau karibuni kazi uzi huu tupeane changamoto zinazofanya tuache kazi.