TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Angalia makada wa CCM yaani Ma RCs,ma DCs,ma Tarafa,ma Kata nk wanaishugulikia CHADEMA KILA KONA YA NCHI.JK umepiga changa la macho.Hakuna marefu yasiyo na ncha.KUTESA KWA ZAMU madhali alichokitengeneza mwanadamu hakishindi NGUVU YA MUNGU.