wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Huelewi wewe,hizo ni mali za ccm toka kitambo na nyaraka zinaonesha hivyo,sema mali nyingi za ccm wanachama walijimilikisha,Magufuli aliunda tume kuhakiki mali hizo,na.huo ndio mrejeshoKwa ufupi kurudi kwa Rostam Azizi na kuachiwa kwa ndugu yake na kukubali masharti ya kuachia vituo vya redio na tv na gazeti la mtanzania kwa maslai ya CCM na sio kwa maslai ya nchi ni jambo la hatari sana tuondako.
Viongozi wa nchi hii wanatanguliza maslai ya chama zaidi kuliko ya taifa kinachofanyika sasa na magufuli ni kuimarisha chama na sio nchi nchi baadae chama kwanza. Inamaana anaagalia maslai ya kutawala na sio kuongoza nchi.
Yuko radhi kuuza au kugawa chcochote ili chama kiwe juu kuliko nchi.
Kwa Lowasa iko wazi alivyohaidiwa ikiwemo la kimwachia mkwewe na kutoendelea kuchukuliwa kwa ardhi na sakata la vodacom mwanae alikuwa kwenye list ya wahujumu uchumi kwa kukaepa kodi.
Kiufupi existance ya ccm inategemea ufisadi na sio wananchi kwenye sanduku la kura.
Ccm kwanza nchi baadae
Sent using Jamii Forums mobile app