chancellors of universities

marregal

Member
May 8, 2011
77
15
ni wazi kuwa wengi hatuwajui ma chancellors wa vyuo,, utakuta wengi wanaoonekana na kuhudhuria vishughulu ni vice chancellor, nkasikia chancellor wa udom ni Rais wa awamu ya tatu, vyuo vingine je? na kazi za hao ma chancellors ni nin haswa???? nitolewe ujinga na nielimike wana jf...:poapamoujah
 
Chancellor ni cheo tu lakin hauhusiki na utendaji wa chuo kama malkia vile u.k..thats what a little knowledge i have..thanx
 
Chancellor ni cheo tu lakin hauhusiki na utendaji wa chuo kama malkia vile u.k(titular head)...thats what a little knowledge i have..thanx
 
Chancellor ni cheo tu lakin hauhusiki na utendaji wa chuo kama malkia vile u.k(titular head)...thats what a little knowledge i have..thanx

na kwa kawaida wanakuwa ni waliowah kuwa viongoz wa nchi, ila maranyingi huwa wanateua watu kuwashkia badala yao. Pale MUHAS naskia yupo Mwinyi.
 
Kwa uelewa wangu Chancellor ni cheo ambacho mtu anapewa,na mara nyingi uwa wanapewa watu waliowahi kuwa na nyadhifa fulani za kisiasa. Mf. Chancellor wa Udom ni Mkapa,wa Udsm ni Balozi Kazaura na SUA ni Alnoor Kassam. Kwa ujumla ukitazama wote hawa ni watu ambao walikuwa na nyadhifa za juu serikalini. Na uwa hawausiki moja kwa moja na utendaji wa kila siku. Mara nyingi wanaonekana wakati wa mahafali.
 
Huyu wa SUA nahisi anamiaka 150, kwani hata kwenye mahafali akija huwa anapotunuku wadau degree huwa hata kusimama hawezi kutokana na kuzeeka, ila mimi naona kazi zao ni pamoja na kudhihirisha watu kupata degree ndio maana huwa wanaonekana kwenye mahali tu!!
 
Back
Top Bottom