bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Tanzania itacheza mechi ya nyumbani na ugenini na Uganda katika round ya kwanza ya michuano ya CHAN 2014 itakayofanyika South Africa.
Katika zone ya CECAFA zitaqualify timu 3 kwenda kwenye michuano hiyo.
Round ya awali itazitakutanisha mechi kati ya Ethiopia Vs Eritrea, Kenya Vs Burundi.
Match I : 30 Nov.01,02 Dec 2012
Match II : 14,15,16.Dec.2012
Mechi zitachezwa baada ya mashindano ya CECAFA 2012 Uganda
Round ya kwanza ambayo washindi watapenya hadi fainali hizo zitakutanisha ;
1.Sudan Vs mshindi (Kenya Vs Burundi)
2.Rwanda Vs mshindi (Ethiopia Vs Eritrea)
3.Tanzania Vs Uganda
Match I : 21,22,23 June 2013
Match II : 05,06,07 July 2013
Mungu ibariki Tanzania iweze kuichapa Uganda
Draw for African Nations Championship 2014 qualifiers completed - Orange African Nations Championship 2011 - CAF
Katika zone ya CECAFA zitaqualify timu 3 kwenda kwenye michuano hiyo.
Round ya awali itazitakutanisha mechi kati ya Ethiopia Vs Eritrea, Kenya Vs Burundi.
Match I : 30 Nov.01,02 Dec 2012
Match II : 14,15,16.Dec.2012
Mechi zitachezwa baada ya mashindano ya CECAFA 2012 Uganda
Round ya kwanza ambayo washindi watapenya hadi fainali hizo zitakutanisha ;
1.Sudan Vs mshindi (Kenya Vs Burundi)
2.Rwanda Vs mshindi (Ethiopia Vs Eritrea)
3.Tanzania Vs Uganda
Match I : 21,22,23 June 2013
Match II : 05,06,07 July 2013
Mungu ibariki Tanzania iweze kuichapa Uganda
Draw for African Nations Championship 2014 qualifiers completed - Orange African Nations Championship 2011 - CAF