CHAMWINO: Taarifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kuhusu kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri Kuu

USA na uchumi wa juu napo ajira hakuna hivyo kauli yako na kubeba kwako huu ujumbe kunaonyesha jinsi gani ulivyo "mjinga"
Acha upumbavu wewe rate ya unemployment ya USA unaweza kulinganisha na ya kwetu kweli?

Pia kumbuka Serikali ya Marekani inatoa subsistence allowance to unemployeed.

Sasa huoni huko kufananisha tatizo la ajira kwa nchi ya Marekani na Tanzania ni ukichaa? Jipange upya katika kujibu hoja.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Acha upumbavu wewe rate ya unemployment ya USA unaweza kulinganisha na ya kwetu kweli?

Pia kumbuka Serikali ya Marekani inatoa subsistence allowance to unemployeed.

Sasa huoni huko kufananisha tatizo la ajira kwa nchi ya Marekani na Tanzania ni ukichaa? Jipange upya katika kujibu hoja.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Sasa wewe na akili zako zote umeona ni sawa ku compare hizo data zako na za Tanzania??
Mimi nimejibu in context ya kuwa tumepiga hatua ya huo uchumi wa Kati na hiyo fact ya unemployment vs USA yenye uchumi wa 1st class na unemployment nayo ipo.
Na sija base on the number of unemployed or say % vs Us.

Unapo compare u have to use like for like.

Au hujui maana ya in context au huju vitu vya kulinganisha au ni utoto unakusumbua
 
Acha upumbavu wewe rate ya unemployment ya USA unaweza kulinganisha na ya kwetu kweli?

Pia kumbuka Serikali ya Marekani inatoa subsistence allowance to unemployeed.

Sasa huoni huko kufananisha tatizo la ajira kwa nchi ya Marekani na Tanzania ni ukichaa? Jipange upya katika kujibu hoja.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Mkuu msamehe bure tu hajitambui, na hajui kama hajitambui, hata kwa kutumia neno ujinga inaonesha jinsi yeye alivyo mjinga. Analinganisha ukosefu wa ajira wa Tanzania na USA!!!!!
 
Unajua USA wanawasaidiaje wasiokuwa na ajira?
Hata kama wana wasaidia, Lakini unatakiwa kujua ukubwa wa uchumi wao, dhuluma wanazo fanya ku boost uchumi wao na reserves etc sasa wewe na akili zako unataka kujilinganisha nao, utakuwa unatembea bila kichwa.
 
Mkuu msamehe bure tu hajitambui, na hajui kama hajitambui, hata kwa kutumia neno ujinga inaonesha jinsi yeye alivyo mjinga. Analinganisha ukosefu wa ajira wa Tanzania na USA!!!!!
Reflection yangu kuhusu unemployment is all over the world, iwe first, second, third tier countries and below.
The issue at hand is how to minimise the effects of unemployment.
Tumekuwa na awamu ya kwanza na sera zake, awamu ya pili, awamu ya tatu, awamu ya new, na sasa awamu ya tano, ambao ndio kwanza unamaliza ngwe yake kwa Kuweka misingi ya kupunguza kama sio kuondoa tatizo la ajira.
Mojawapo ni sisi wenyewe kujitambua, pili kuongeza maeneo ya shughuli za kiuchumi kama agro processing n.k
Na kuweka mazingira yatakayo support hizo economic activities e.g. hiyo agro processing .
Wanaopiga kelele sasa hivi in fact wanafurahia maana infrastructure sasa zimewekwa wao, sasa wanacho lilia ni funguo wachukue waserereke as if policy zao ndio zimefanikisha haya .
 
Back
Top Bottom