Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Siyo kila mleta mada awe na faida kutokana na habari anayo iandikaHuenda Mleta Mada hata yeye ha benefit kwa lolote kwa hizo Mali wanazosema ni za CCM
Siyo kila mleta mada awe na faida kutokana na habari anayo iandikaHuenda Mleta Mada hata yeye ha benefit kwa lolote kwa hizo Mali wanazosema ni za CCM
Upo sahihi kabisa mkuuKwanini alishauri kutumia dola ili kubaki kwenye dola??huoni kua angesababisha vita ya ndani kwa ndani? atabaki kua mpuuzi tu
Ndiyo.Kwani maisha ya wanaccm na watanzania yamebadilika?
Alihojiwa uraia?
You have spoken too soon. Ukifahamu mchezo wa chess utaelewa you have to calculate your moves, na unapaswa utumie sana akili kuliko hisia. Na sasa hivi hayo ndio yanafanyika na wengi katika chama pendwa. Wanasema the truth is spoken in silence.Kwa nini kama Bashiru anayaamini aliyoyapigania asijiuzuru au kuanzisha chama chake, madhubuti cha siasa?
Anachokisimamia hasa Bashiru ni nini? Mali za CCM tu?
Hiiiiii bagosha!
Sema nguvu ndio zilizotumika sio Bashiru. Na pia ni mali gani hizo?Unazungumziaje kazi aliyoifanya ya Dr Bashiru ya kurejesha mali za chama kutoka kwa baadhi ya wamiliki wasio halali wa mali hizo.?
Kuna aliyelalamika kaporwa mali yake kuwa ya CCM kimakosa na kwa nguvu!? Kumbuka Dr Bashiru ndiye alisimamia zoezi la kurejesha mali za CCM kwa kufanya uhakiki wa mali hizo kabla hajawa Katibu Mkuu wa Chama.Sema nguvu ndio zilizotumika sio Bashiru. Na pia ni mali gani hizo?
Kwanza hizo zinazoitwa mali za CCM asilimia 90% ni mali za Umma zilizozuchumwa na Watanzania wote kabla ya mfumo wa vyama vingi.Kuna aliyelalamika kaporwa mali yake kuwa ya CCM kimakosa na kwa nguvu!? Kumbuka Dr Bashiru ndiye alisimamia zoezi la kurejesha mali za CCM kwa kufanya uhakiki wa mali hizo kabla hajawa Katibu Mkuu wa Chama.
Na alipokuwa Katibu mkuu wa chama kwa kushirikina na "secretariet ya chama" wakaweka mfumo mzuri wa kukusanya mapato kutoka kwenye mali hizo. Sasa hivi CCM haihitaji kuomba kuchangiwa kuendesha shughuli zake za chama. Labda waanze hapo baadaye.
Kuhusu mali za Chama nitakusahihisha. Hata CCM zile mali ilizozi acquire kabla ya 1992 siyo mali zake.Leo nimeamka nikitafakari kuhusu mwalimu wangu Dk. Bashiru Ally. Tafakuri imenipeleka mbali hadi mwaka 2011, nikiwa mwaka wa tatu wa shahada yangu ya kwanza pale UDSM. Nyakati hizo nilikuwa mwenyekiti wa chama cha wanafunzi kilichojulikana kama Sauti ya Vijana Tanzania (SAVITA), huku Mwalimu Bashiru akiwa ndiye mlezi wetu. Mwaka huo, nilishiriki kuhariri jarida la Kigoda cha Taaluma cha Mwl Nyerere lililokuwa na lengo la kuadhimisha miaka mitatu ya "Kigoda", chini ya Prof Issa Shivji.
Mimi na mhariri mwenzangu tulikusanya makala kutoka kwa Wana-Kigoda zinazohusu ya tafakuri zao juu ya shughuli za kitaaluma na kimapambano zilizoongozwa na Kigoda. Mchangiaji mmoja hakutuma makala bali shairi. Shairi liliitwa, "Heko Nyingi Nawapeni, Kwa Kutimiza Ahadi." Mchangiaji huyo ni Dk Bashiru Ally, enzi hizo tukimwita "Mwalimu Bashiru." Na alilighani shairi hilo katika Tamasha la Kitaaluma la Mwalimu Nyerere mwezi Aprili 2011.
Mwezi Mei 2011 SAVITA iliandaa Kongamano la Kuadhimisha miaka 44 ya Azimio la Arusha. Mtoa mada alikuwa ni Prof Shivji, na mwongozaji ni Mwl Bashiru. Baada ya kongamano hilo nilistaafu uenyekiti wa SAVITA. Katika hotuba yangu ya kukabidhi uongozi, niliandika maneno haya, huku nikinukuu baadhi ya beti kutoka kwenye shairi la Dk Bashiru nililolitaja mwanzoni:
________________________
"Kwa walioishika vema, SAVITA iligeuka kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku. Matendo yao, mazungumzo yao, mavazi yao, matarajio yao, mitazamo yao na hata maamuzi juu ya nani awe rafiki ama adui vilijengeka katika misingi ya SAVITA niliyokwishaitaja hapo awali. Lakini, ashakum si matusi. Tuna jamii ya ajabu. Katika zama hizi za utandawazi, kuishika misingi hiyo ni ‘uendawazimu’. Tuna jamii ambayo itakushangaa usipoiba, itakukujeli usiposema uongo na itakutukana ukijidai una moyo wa kujitolea. Mwalimu Bashiru Ally aliyaona hili, ndio maana akaghani:
"Vita mliyoasisi, ni vita ya ukombozi,
Kukomboa Almasi, na samaki wa Zambezi,
Vilevile kuziasi, sera za ‘utandawizi’,
Heko nyingi nawapeni, kwa kutimiza ahadi.
"Vita ikishakolea, mtaiwa magaidi,
Hongo msipopokea, mtaitwa wakaidi,
Ushindi ukiwadia, mtaitwa mashahidi,
Heko nyingi nawapeni, kwa kutimiza ahadi."
___________________________
Miaka 10 imepita tangu niitoe hotuba ile. Sikujua kuwa niliyokuwa nikiyasema ndiyo yatamkuta gwiji huyu wa mapambano. Na shairi la Dk Bashiru pia limetimiza miaka 10. Nafikiri wakati akiliandika na kulighani hakuwa amejua yatakayotokea leo.
Kosa pekee alilofanya ni kuokoa mali za chama chake, ambapo hapo awali zilisemekana kuwa na thamani ya bilioni 60, ila baada ya uhakiki wa Kamati aliyoingoza ikagundulika kuwa zina thamani ya trilioni 1 (kwa mujibu wa vyombo vya habari). Mali za zaidi ya bilioni 940 zilikuwa zimeporwa na walafi, huku chama chake kikiwa kimewekwa mfukoni mwa mafisadi. Hao ndio wanaoongoza kumchafua leo hii.
Mara baada ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM, ziara yake ya kwanza aliifanya katika ofisi za Mtandao wa Wakulima Wadogo Tanzania - MVIWATA. Haikuwa mara ya kwanza kufika hapo bali alikuwa ni rafiki wa MVIWATA kwa muda mrefu kabla ya kuteuliwa. Hiyo ilifungua mlango mpya wa mshikamano katika kupambana dhidi ya uporaji wa ardhi, mbegu za kifo za GMO, rasimu ya sera mpya ya kiporaji ya ardhi, nk. Vijiji vya Msowero (Kilosa), Lukonde na Mtego wa Simba (Morogoro Vijijini), Mchukwi (Kibiti), Amboni (Tanga), na kwingineko vinamkumbuka kwa jinsi alivyoungana nao kupambana na mtandao wa waporaji wa ardhi, waliokuwa wakichoma nyumba za wanavijiji, kuwapiga na kuwafungulia wanavijiji mashtaka ya kughushi na kuchoma mazao yao mashambani. Haya huwezi kuyasikia kwenye vyombo vya habari. Kwa wavujajasho hao waliporwa ardhi, Mwalimu Bashiru ni shujaa. Huko wanamwombea dua na kumtakia heri. Ni nani atakayesikia sauti zao?
Mwaka jana, nikizungumza na Fr. Privatus Karugendo, aliniambia kuwa alishangazwa sana alipofika nyumbani kwa Bashiru akiwa katibu mkuu wa CCM. "Nyumba iko tupu. Anaishi maisha very simple," Fr Karugendo alinambia, huku akifurahi kuwa cheo hakikum-badilisha Bashiru. Hata alipolazimika kuvaa suti katika dhifa za kitaifa, alivaa 'suti za Kaunda' na sio koti na tai. Lakini vyake ni viatu vya wazi (sandles), suruali na shati.
Bashiru sio mtu wa vyeo na wala hakugombea cheo chochote. Aliteuliwa. Huyu ni mjamaa na wanamajumui wa Afrika. Samaki kwake majini, mjamaa kwake mapambanoni. Mwalimu wake, Nyerere, alipotoka Ikulu alirudi Butiama kushika jembe na kucheza bao na wanavijiji.
Natumai Mwl Bashiru atakapomaliza kutumikia nafasi yake ya uteuzi ya sasa, atarudi chuoni kufundisha, kutafiti na kushiriki katika mapambano ya wavujajasho kudai haki zao. Natumai tutapanda wote basi kwenda Morogoro kwenye mikutano ya MVIWATA. Natumai tutapanda tena bodaboda kwenda vijijini kujifunza kwa wavujajasho. Natumai atatutungia na kutughania mashairi ya kimapinduzi. Natumai tutakusanya tena maandiko ya wanamapinduzi, kuyatafsiri na kuyachapisha.
Fidel Castro alipotiwa korokoroni kwa kupambana dhidi ya ujahili nchini Cuba, alisema, "Nihukumuni. Historia itaniachia huru." Naam, historia ya mapambano dhidi ya ufisadi na uporaji wa rasilimali za wavujajasho itamwachia Mwl Bashiru huru. Na historia hiyo haitaandikwa na walafi na mafedhuli aliopambana nao. Itaandikwa na wakulima wadogo, wamachinga na bodaboda.
ASANTE SAMIA
Mbona naye Bashiru kakubali kujengewa gorofa na Rostam Aziz?? Bado unamuita mjamaaChief wa Msoga gang na wapambe wake walipora mali za chama na kujimilikisha kinyemela kama zao. Na ndiyo hao sasa hivi wanamchafua Bashiru kwa nguvu zote.
Mbona zile fedha za kuwanunulia akina Silinde, Gekul, Mollel walikuwa wanagawana Bashiru na Polepole na walengwa!!Pamoja na machafu yoote anayotupiwa dk bashiru,ukweli ni kinyume chale, bashiru ni mzalendo,mwadilifu na mchapa kazi,huyu mtu ni moja Kati ya wajamaa waliobaki,
You have spoken too soon. Ukifahamu mchezo wa chess utaelewa you have to calculate your moves, na unapaswa utumie sana akili kuliko hisia. Na sasa hivi hayo ndio yanafanyika na wengi katika chama pendwa. Wanasema the truth is spoken in silence.
Hata hao uliyosema walitukuka used the same game...na wataendelea til the end of time.Siasa hizi unazoziongelea wewe si siasa za kina Nyerere, Mandela, Castro, Che Guevara, Samora Machel na wenzao wengi walio watukuka kweri kweri.
Wewe unaongelea siasa za kinafiki, za akina Moi, Oginga, Kibaki, Ruto, waparamagamba, mwakyembe, bashiri, pole pole na wenzao. Siasa za kimaslahi zenye kupima upepo. Siasa hizi ni zile alizoziita Nyerere kuwa ni za kimalaya malaya tu.
Siasa hizi za kimalaya malaya haziwezi kuwa na tija katika jamii yoyote inayolenga haki na usawa kwa wote.
Watz wengi hasa huko CCM sasa hivi wanajivunia sana siasa hizo za kimalaya. Siasa za kuhalalisha udhalimu, ujambazi mradi tu 'zinashindisha' uchaguzi.Siasa hizi unazoziongelea wewe si siasa za kina Nyerere, Mandela, Castro, Che Guevara, Samora Machel na wenzao wengi walio watukuka kweri kweri.
Wewe unaongelea siasa za kinafiki, za akina Moi, Oginga, Kibaki, Ruto, waparamagamba, mwakyembe, bashiri, pole pole na wenzao. Siasa za kimaslahi zenye kupima upepo. Siasa hizi ni zile alizoziita Nyerere kuwa ni za kimalaya malaya tu.
Siasa hizi za kimalaya malaya haziwezi kuwa na tija katika jamii yoyote inayolenga haki na usawa kwa wote.
Kosa ni tungo tata 'He does keep his words, public figures have to keep their words'pia alikuwa anajtoa ufahamu ama uyumbu 'herding behavior' thoughtful people suspend their individual reasoning because of fearLeo nimeamka nikitafakari kuhusu mwalimu wangu Dk. Bashiru Ally. Tafakuri imenipeleka mbali hadi mwaka 2011, nikiwa mwaka wa tatu wa shahada yangu ya kwanza pale UDSM. Nyakati hizo nilikuwa mwenyekiti wa chama cha wanafunzi kilichojulikana kama Sauti ya Vijana Tanzania (SAVITA), huku Mwalimu Bashiru akiwa ndiye mlezi wetu. Mwaka huo, nilishiriki kuhariri jarida la Kigoda cha Taaluma cha Mwl Nyerere lililokuwa na lengo la kuadhimisha miaka mitatu ya "Kigoda", chini ya Prof Issa Shivji.
Mimi na mhariri mwenzangu tulikusanya makala kutoka kwa Wana-Kigoda zinazohusu ya tafakuri zao juu ya shughuli za kitaaluma na kimapambano zilizoongozwa na Kigoda. Mchangiaji mmoja hakutuma makala bali shairi. Shairi liliitwa, "Heko Nyingi Nawapeni, Kwa Kutimiza Ahadi." Mchangiaji huyo ni Dk Bashiru Ally, enzi hizo tukimwita "Mwalimu Bashiru." Na alilighani shairi hilo katika Tamasha la Kitaaluma la Mwalimu Nyerere mwezi Aprili 2011.
Mwezi Mei 2011 SAVITA iliandaa Kongamano la Kuadhimisha miaka 44 ya Azimio la Arusha. Mtoa mada alikuwa ni Prof Shivji, na mwongozaji ni Mwl Bashiru. Baada ya kongamano hilo nilistaafu uenyekiti wa SAVITA. Katika hotuba yangu ya kukabidhi uongozi, niliandika maneno haya, huku nikinukuu baadhi ya beti kutoka kwenye shairi la Dk Bashiru nililolitaja mwanzoni:
________________________
"Kwa walioishika vema, SAVITA iligeuka kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku. Matendo yao, mazungumzo yao, mavazi yao, matarajio yao, mitazamo yao na hata maamuzi juu ya nani awe rafiki ama adui vilijengeka katika misingi ya SAVITA niliyokwishaitaja hapo awali. Lakini, ashakum si matusi. Tuna jamii ya ajabu. Katika zama hizi za utandawazi, kuishika misingi hiyo ni ‘uendawazimu’. Tuna jamii ambayo itakushangaa usipoiba, itakukujeli usiposema uongo na itakutukana ukijidai una moyo wa kujitolea. Mwalimu Bashiru Ally aliyaona hili, ndio maana akaghani:
"Vita mliyoasisi, ni vita ya ukombozi,
Kukomboa Almasi, na samaki wa Zambezi,
Vilevile kuziasi, sera za ‘utandawizi’,
Heko nyingi nawapeni, kwa kutimiza ahadi.
"Vita ikishakolea, mtaiwa magaidi,
Hongo msipopokea, mtaitwa wakaidi,
Ushindi ukiwadia, mtaitwa mashahidi,
Heko nyingi nawapeni, kwa kutimiza ahadi."
___________________________
Miaka 10 imepita tangu niitoe hotuba ile. Sikujua kuwa niliyokuwa nikiyasema ndiyo yatamkuta gwiji huyu wa mapambano. Na shairi la Dk Bashiru pia limetimiza miaka 10. Nafikiri wakati akiliandika na kulighani hakuwa amejua yatakayotokea leo.
Kosa pekee alilofanya ni kuokoa mali za chama chake, ambapo hapo awali zilisemekana kuwa na thamani ya bilioni 60, ila baada ya uhakiki wa Kamati aliyoingoza ikagundulika kuwa zina thamani ya trilioni 1 (kwa mujibu wa vyombo vya habari). Mali za zaidi ya bilioni 940 zilikuwa zimeporwa na walafi, huku chama chake kikiwa kimewekwa mfukoni mwa mafisadi. Hao ndio wanaoongoza kumchafua leo hii.
Mara baada ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM, ziara yake ya kwanza aliifanya katika ofisi za Mtandao wa Wakulima Wadogo Tanzania - MVIWATA. Haikuwa mara ya kwanza kufika hapo bali alikuwa ni rafiki wa MVIWATA kwa muda mrefu kabla ya kuteuliwa. Hiyo ilifungua mlango mpya wa mshikamano katika kupambana dhidi ya uporaji wa ardhi, mbegu za kifo za GMO, rasimu ya sera mpya ya kiporaji ya ardhi, nk. Vijiji vya Msowero (Kilosa), Lukonde na Mtego wa Simba (Morogoro Vijijini), Mchukwi (Kibiti), Amboni (Tanga), na kwingineko vinamkumbuka kwa jinsi alivyoungana nao kupambana na mtandao wa waporaji wa ardhi, waliokuwa wakichoma nyumba za wanavijiji, kuwapiga na kuwafungulia wanavijiji mashtaka ya kughushi na kuchoma mazao yao mashambani. Haya huwezi kuyasikia kwenye vyombo vya habari. Kwa wavujajasho hao waliporwa ardhi, Mwalimu Bashiru ni shujaa. Huko wanamwombea dua na kumtakia heri. Ni nani atakayesikia sauti zao?
Mwaka jana, nikizungumza na Fr. Privatus Karugendo, aliniambia kuwa alishangazwa sana alipofika nyumbani kwa Bashiru akiwa katibu mkuu wa CCM. "Nyumba iko tupu. Anaishi maisha very simple," Fr Karugendo alinambia, huku akifurahi kuwa cheo hakikum-badilisha Bashiru. Hata alipolazimika kuvaa suti katika dhifa za kitaifa, alivaa 'suti za Kaunda' na sio koti na tai. Lakini vyake ni viatu vya wazi (sandles), suruali na shati.
Bashiru sio mtu wa vyeo na wala hakugombea cheo chochote. Aliteuliwa. Huyu ni mjamaa na wanamajumui wa Afrika. Samaki kwake majini, mjamaa kwake mapambanoni. Mwalimu wake, Nyerere, alipotoka Ikulu alirudi Butiama kushika jembe na kucheza bao na wanavijiji.
Natumai Mwl Bashiru atakapomaliza kutumikia nafasi yake ya uteuzi ya sasa, atarudi chuoni kufundisha, kutafiti na kushiriki katika mapambano ya wavujajasho kudai haki zao. Natumai tutapanda wote basi kwenda Morogoro kwenye mikutano ya MVIWATA. Natumai tutapanda tena bodaboda kwenda vijijini kujifunza kwa wavujajasho. Natumai atatutungia na kutughania mashairi ya kimapinduzi. Natumai tutakusanya tena maandiko ya wanamapinduzi, kuyatafsiri na kuyachapisha.
Fidel Castro alipotiwa korokoroni kwa kupambana dhidi ya ujahili nchini Cuba, alisema, "Nihukumuni. Historia itaniachia huru." Naam, historia ya mapambano dhidi ya ufisadi na uporaji wa rasilimali za wavujajasho itamwachia Mwl Bashiru huru. Na historia hiyo haitaandikwa na walafi na mafedhuli aliopambana nao. Itaandikwa na wakulima wadogo, wamachinga na bodaboda.
ASANTE SAMIA
Hata hao uliyosema walitukuka used the same game...na wataendelea til the end of time.
Unajaribu kumsafisha mratibu wa business ya ununuzi wa wabunge na madiwani,? Eti kuunga mkono juhudi za jiwe!! Jamaa ametapanya sana pesa za walipa kodiLeo nimeamka nikitafakari kuhusu mwalimu wangu Dk. Bashiru Ally. Tafakuri imenipeleka mbali hadi mwaka 2011, nikiwa mwaka wa tatu wa shahada yangu ya kwanza pale UDSM. Nyakati hizo nilikuwa mwenyekiti wa chama cha wanafunzi kilichojulikana kama Sauti ya Vijana Tanzania (SAVITA), huku Mwalimu Bashiru akiwa ndiye mlezi wetu. Mwaka huo, nilishiriki kuhariri jarida la Kigoda cha Taaluma cha Mwl Nyerere lililokuwa na lengo la kuadhimisha miaka mitatu ya "Kigoda", chini ya Prof Issa Shivji.
Mimi na mhariri mwenzangu tulikusanya makala kutoka kwa Wana-Kigoda zinazohusu ya tafakuri zao juu ya shughuli za kitaaluma na kimapambano zilizoongozwa na Kigoda. Mchangiaji mmoja hakutuma makala bali shairi. Shairi liliitwa, "Heko Nyingi Nawapeni, Kwa Kutimiza Ahadi." Mchangiaji huyo ni Dk Bashiru Ally, enzi hizo tukimwita "Mwalimu Bashiru." Na alilighani shairi hilo katika Tamasha la Kitaaluma la Mwalimu Nyerere mwezi Aprili 2011.
Mwezi Mei 2011 SAVITA iliandaa Kongamano la Kuadhimisha miaka 44 ya Azimio la Arusha. Mtoa mada alikuwa ni Prof Shivji, na mwongozaji ni Mwl Bashiru. Baada ya kongamano hilo nilistaafu uenyekiti wa SAVITA. Katika hotuba yangu ya kukabidhi uongozi, niliandika maneno haya, huku nikinukuu baadhi ya beti kutoka kwenye shairi la Dk Bashiru nililolitaja mwanzoni:
________________________
"Kwa walioishika vema, SAVITA iligeuka kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku. Matendo yao, mazungumzo yao, mavazi yao, matarajio yao, mitazamo yao na hata maamuzi juu ya nani awe rafiki ama adui vilijengeka katika misingi ya SAVITA niliyokwishaitaja hapo awali. Lakini, ashakum si matusi. Tuna jamii ya ajabu. Katika zama hizi za utandawazi, kuishika misingi hiyo ni ‘uendawazimu’. Tuna jamii ambayo itakushangaa usipoiba, itakukujeli usiposema uongo na itakutukana ukijidai una moyo wa kujitolea. Mwalimu Bashiru Ally aliyaona hili, ndio maana akaghani:
"Vita mliyoasisi, ni vita ya ukombozi,
Kukomboa Almasi, na samaki wa Zambezi,
Vilevile kuziasi, sera za ‘utandawizi’,
Heko nyingi nawapeni, kwa kutimiza ahadi.
"Vita ikishakolea, mtaiwa magaidi,
Hongo msipopokea, mtaitwa wakaidi,
Ushindi ukiwadia, mtaitwa mashahidi,
Heko nyingi nawapeni, kwa kutimiza ahadi."
___________________________
Miaka 10 imepita tangu niitoe hotuba ile. Sikujua kuwa niliyokuwa nikiyasema ndiyo yatamkuta gwiji huyu wa mapambano. Na shairi la Dk Bashiru pia limetimiza miaka 10. Nafikiri wakati akiliandika na kulighani hakuwa amejua yatakayotokea leo.
Kosa pekee alilofanya ni kuokoa mali za chama chake, ambapo hapo awali zilisemekana kuwa na thamani ya bilioni 60, ila baada ya uhakiki wa Kamati aliyoingoza ikagundulika kuwa zina thamani ya trilioni 1 (kwa mujibu wa vyombo vya habari). Mali za zaidi ya bilioni 940 zilikuwa zimeporwa na walafi, huku chama chake kikiwa kimewekwa mfukoni mwa mafisadi. Hao ndio wanaoongoza kumchafua leo hii.
Mara baada ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM, ziara yake ya kwanza aliifanya katika ofisi za Mtandao wa Wakulima Wadogo Tanzania - MVIWATA. Haikuwa mara ya kwanza kufika hapo bali alikuwa ni rafiki wa MVIWATA kwa muda mrefu kabla ya kuteuliwa. Hiyo ilifungua mlango mpya wa mshikamano katika kupambana dhidi ya uporaji wa ardhi, mbegu za kifo za GMO, rasimu ya sera mpya ya kiporaji ya ardhi, nk. Vijiji vya Msowero (Kilosa), Lukonde na Mtego wa Simba (Morogoro Vijijini), Mchukwi (Kibiti), Amboni (Tanga), na kwingineko vinamkumbuka kwa jinsi alivyoungana nao kupambana na mtandao wa waporaji wa ardhi, waliokuwa wakichoma nyumba za wanavijiji, kuwapiga na kuwafungulia wanavijiji mashtaka ya kughushi na kuchoma mazao yao mashambani. Haya huwezi kuyasikia kwenye vyombo vya habari. Kwa wavujajasho hao waliporwa ardhi, Mwalimu Bashiru ni shujaa. Huko wanamwombea dua na kumtakia heri. Ni nani atakayesikia sauti zao?
Mwaka jana, nikizungumza na Fr. Privatus Karugendo, aliniambia kuwa alishangazwa sana alipofika nyumbani kwa Bashiru akiwa katibu mkuu wa CCM. "Nyumba iko tupu. Anaishi maisha very simple," Fr Karugendo alinambia, huku akifurahi kuwa cheo hakikum-badilisha Bashiru. Hata alipolazimika kuvaa suti katika dhifa za kitaifa, alivaa 'suti za Kaunda' na sio koti na tai. Lakini vyake ni viatu vya wazi (sandles), suruali na shati.
Bashiru sio mtu wa vyeo na wala hakugombea cheo chochote. Aliteuliwa. Huyu ni mjamaa na wanamajumui wa Afrika. Samaki kwake majini, mjamaa kwake mapambanoni. Mwalimu wake, Nyerere, alipotoka Ikulu alirudi Butiama kushika jembe na kucheza bao na wanavijiji.
Natumai Mwl Bashiru atakapomaliza kutumikia nafasi yake ya uteuzi ya sasa, atarudi chuoni kufundisha, kutafiti na kushiriki katika mapambano ya wavujajasho kudai haki zao. Natumai tutapanda wote basi kwenda Morogoro kwenye mikutano ya MVIWATA. Natumai tutapanda tena bodaboda kwenda vijijini kujifunza kwa wavujajasho. Natumai atatutungia na kutughania mashairi ya kimapinduzi. Natumai tutakusanya tena maandiko ya wanamapinduzi, kuyatafsiri na kuyachapisha.
Fidel Castro alipotiwa korokoroni kwa kupambana dhidi ya ujahili nchini Cuba, alisema, "Nihukumuni. Historia itaniachia huru." Naam, historia ya mapambano dhidi ya ufisadi na uporaji wa rasilimali za wavujajasho itamwachia Mwl Bashiru huru. Na historia hiyo haitaandikwa na walafi na mafedhuli aliopambana nao. Itaandikwa na wakulima wadogo, wamachinga na bodaboda.
ASANTE SAMIA
Aah, kitu cha kwanza binafsi nilisoma shule ya msingi Kashozi - mimi Bashiru simfahamu physically ie sijawahi kukutana nae hata siku moja, na kusema kweli hakuna haja kinachi vuma kwa Dk.Bashiru ni sifa zake za kizalendo na zilizo tukuka kusema kweli, anajulikana kwa kutopenda makuu,kujikweza na kusimamia haki - hiyo ndio inbuilt hulka yake sifa hizo zinajulikana mpaka kijijini alipo zaliwa.Mbunge wa kuteuliwa, mzalendo husimamia hoja yake. Mzalendo uwa kama kuna uchafu atausema wazi wazi bila kukaa kimya kisa kapewa ubunge wa kuteuliwa.
Hana uzalendo wowote huyo. Hakuna mjamaa Afrika walishakufa na kuzikwa. Kamsifuni wana CCM, mzalendo ni yule atakayepigania maslahi ya taifa siyo kuweka chama mbele.
We Bashiru unamfahamu ukiwa UDSM, mimi Bashiru namfahamu toka miaka ya 90 akiwa mwalimu wa Sekondari ya Kashozi hapo Bukoba.
Kila mtu hubadilika, na hawa watu wanaojifanya wazalendo wakiwa wananjaa wakipata ulaji wanageuka kabisa.Aah, kitu cha kwanza binafsi nilisoma shule ya msingi Kashozi - mimi Bashiru simfahamu physically ie sijawahi kukutana nae hata siku moja, na kusema kweli hakuna haja kinachi vuma kwa Dk.Bashiru ni sifa zake za kizalendo na zilizo tukuka kusema kweli, anajulikana kwa kutopenda makuu,kujikweza na kusimamia haki - hiyo ndio inbuilt hulka yake sifa hizo zinajulikana mpaka kijijini alipo zaliwa.
Mkuu unapo sema nafamiana na Dk. Bashiru tangu nikiwa UDSM sijui unamaanisha nini? Kwa taarifa yako nimesoma Vyuo Vikuu vya nchi za nje - sijawahi kusoma Chuo Kikuu chochote hapa Tanzania consequently madai yako hayana ukweli wowote.