kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
Leo ktk kijiji cha chalowe,njombe,kulikuwa na mazishi ya mtu mmoja ambaye ni mstaafu wa utumishi wa umma ,chadema waliwasilisha salaamu na rambirambi wakimsindikiza mtoto wa marehemu ambaye ni kada wa chama hicho.baada ya salamu kutoka cdm mwendesha ratiba aliuliza kama chama tawala wapo watoe salamu pia.alidai kuwa marehemu kabla ya kuajiriwa na serikali aliwahi kuwa mwenyekiti wa kijiji enzi za chama kimoja.hakukuwa na salamu toka chama tawala.
je,chama tawala walikosea kutotoa salaamu au la? Naomba mchango wenu wa mawazo
je,chama tawala walikosea kutotoa salaamu au la? Naomba mchango wenu wa mawazo