Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
-Siku za karibuni Nape ameanza piga kelele kuwa watu kadhaa wanashikilia kadi za CCM, bado haikuweza k uwa issue kwa vile kadi hununuliwa na watu wengi tuu hawarudishi hizo kadi.Wengine kama kumbukumbu, wengine kam ushahidi, wengine kwa vile hawakuwa na muda wa kurudisha au hawajui wamrudishie nani.
-Nape aliendelea kwend ambali na kusema kuwa kadi zinalipia hadi sasa, ilikuwa ni njia rahisi ila hatari san akujipatia sifa za haraka na kuchafua wapinzani haraka.Ila nape hakuwa tayari jibu swali langu pale nilipotaka uthibitisho kuwa hao anaowasema ndio waliolipia hizo kadi kwa hela zao wenyewe na si michezo ya CCM kujaza madaftari ili baadaye wadai wanoa ushahidi wa malipo.
-NI kitendo ch aaibu chama tawala kudanganya taifa kwa kila nyanja, ikiwepo kwa vitu hatari na vya kijinga namna hii.CCM wamefikia hapa wataaminika kwa lipi?
Mods:Naomba msiunganishe na nyingine pengine Nape atapata muda wa kuja jibu kw aushahidi kuwa kadi za CCM zinazoshikiliwa na viongozi wa vyama vingine kweli ni wao walilipia na michezo ya CCM.
-Nape aliendelea kwend ambali na kusema kuwa kadi zinalipia hadi sasa, ilikuwa ni njia rahisi ila hatari san akujipatia sifa za haraka na kuchafua wapinzani haraka.Ila nape hakuwa tayari jibu swali langu pale nilipotaka uthibitisho kuwa hao anaowasema ndio waliolipia hizo kadi kwa hela zao wenyewe na si michezo ya CCM kujaza madaftari ili baadaye wadai wanoa ushahidi wa malipo.
-NI kitendo ch aaibu chama tawala kudanganya taifa kwa kila nyanja, ikiwepo kwa vitu hatari na vya kijinga namna hii.CCM wamefikia hapa wataaminika kwa lipi?
Mods:Naomba msiunganishe na nyingine pengine Nape atapata muda wa kuja jibu kw aushahidi kuwa kadi za CCM zinazoshikiliwa na viongozi wa vyama vingine kweli ni wao walilipia na michezo ya CCM.