Kinana naye anaanza karabati magofu yake mjini Arusha,ili papatikane nyumba za wapangaji.CCM hawawezi kuja ni kitu kiya au hata fanya bishara halali kwa mafanikio.Let's discuss this from party perspective manake hata ndugu yangu Mangula alijiuzia nyumba ya Chama pale Oysterbay jirani kidogo na jamaa zangu alikatiwa mpaka umeme na maji Baada ya kupata shavu ameunganishiwa umeme juzijuzi hahahah huyo alichoka kuliko .... Angalau kajenga shade ya kupark kakadu VX sasa Magogoni ndio makazi rasmi ya rais, lakini mbona anakarabatiwa mikocheni,msoga na kwingineko? Has anybody questioned it ? He deserve kukarabatiwa huko mikocheni na bagamoyo ili kwa hadhi yake akitoka aingie pazuri... Magogoni si nyumba ya kudumu Spike Lee Na kama una ushahidi wa kujengewa kwa Dr Slaa weka hadharani Mimi kiu yangu, let's skip partisan politics tujikite kwenye utekelezaji wa majukumu
Inahusiani vipi na kuona huu ujinga wa ccm wa kulipia watu wasio wanachama hai michango kama CUF walipotumia mchungaji feki.huu ni ushenzi na aibu, na karaha kubwa yenye kudhalilisha hadi taifa.Hivi hakuna kipengele cha ethics? Alipokuja lipia Nape ahkumpeleka halmashauri kuu akajibu tuhuma za kusaliti na kukiumiza chama kama wengine?Hakugomewa kulipa kwanza hadi wakuu wamwajibishe?Unashughuli gani hapa mjini?
Nani alikwambia kuwa ukipigania ukombozi usilipwe mshahara, unadhani kuwa mpiganaji huna mahitaji au ilitaka afiche kam ccm wanavyoficha. kazi anayofanya ya kuinyoosha ccm ninzuri tena alisitahili malipo zaidi ya hayo anayopata.Kumbuka pia ukiwa chadeMpigania ukombozi anajipangia mshahara? Huo ukombozi ukipatikana atajipangia kiasi gani?
Nape namtafuta aje na uthibitisho kuwa kweli Dr. na wengine waliwahi kuja lipia hizo kadi ktk office za CCM kwa hela zao halali.Nape katokomea.Wewe tuu ndio bado huja update Database yako km wana ccm wengine.
By the way Yeriko amethibitisho Nape ni CCJ kwa picture kali sana.
Ni kawaida yenu kujiangalia nyie wenyewe, ukishiba wewe ni Watz wangapi wanalala njaa? Au hilo haliwahusu? Kwakuwa wewe unakula na kusaza hutaki kufikiria ndugu zako wengine ambao ni Watz maskini wanavyokosa hata nguo na chumvi za Shs 100 kiasi kwamba ndio mmegeuza vitu hivyo kuwa anasa kwao kwa kuwahonga wawape kura? SHAME ON YOU!sisi tunakula na kusaza karibu sana
Mtaangaika sana kujibu lakini ukweli unabaki kuwa ukweli Dr Slaa ni pandikizi la CCM ndani ya CDM.
majibu ya kukariri ndio shida zake hizo.utareplay sana. By the way Karume anayo ya ASP,na Shein pia+Ni aibu kubwa kwa mtu anayejiita kiongnzi wa upinzani Tanzania kumiliki kadi ya Chama tawala CCM. Uwezi kutumikia mabwana wawili.
Mama
Naogopa kujibizana na wanawake naweza kusema maneno ukapata tumbo la hedhi; sijui ni kipi ambacho kinachomuhusu Slaa kipo kizani; kama ana uhakika wa kuingia ikulu 2015 angesubiri naye anagejengewa baada ya muda wake wa uraisi; anajua fika hilo halipo ndiyo sababu anaharakisha kabla Chadema hawajashtuka!
Ni aibu kubwa kwa mtu anayejiita kiongnzi wa upinzani Tanzania kumiliki kadi ya Chama tawala CCM. Uwezi kutumikia mabwana wawili.
emeona eh...CCM huwa akili zao ni kubebewa ndio maana watu wa nje wanatudharau baada ya encounter na junks za CCM wakidhani watz wote ni hovyo hivyo.Hakuna jipya utakalolisema ambalo sijalisikia kabla, na kuanza kukimbilia kutoa maneno makali ni kupungukiwa hoja FACT ; mangula alikatiwa umeme oysterbay miaka 2 nyuma, leo hii baada ya shavu la CCM ameweza kurudishiwa na kuhudumiwa kama kiongozi, vilevile amejiuzia nyumba ya Chama hapo Oysterbay, miaka yote walikaa viongozi wa Chama, hahahhah so ni heri anayejengewa kama wanaomjengea wameridhia Kwavile CCM ndio ina hatamu za nchi hii tuelezeni utekelezaji wa sera, msigeuke wapinzani kwa kuanza kutafuta kuchafua "mtu' nyie semeni nyie kama CCM utekelezaji umekuwa kwa kiwango gani Mambo ya tumbo la hedhi hayahusiki kabisa, don't get personal get real
Huna haja ya kumsubiri Nape muulize mwenye kadi
Huna haja ya kumsubiri Nape muulize mwenye kadi
Waambie hao wanaojiita chma tawalaBaada ya kusema haya imewsaidia nini ndugu zako kule kijijini?