Chama tawala cha Jubilee wasema wako tayari kushirikiana na ODM ya Raila Odinga

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Chama tawala nchini Kenya cha Jubilee, kimesema kiko tayari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pamoja na chama ODM cha Raila Odinga kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. Kiongozi wa walio wengi katika bunge la Kenya Aden Duale amesema bungeni kuwa chama cha Rais Kenyatta kiko tayari kushirikiana na chama cha Odinga, kwa sharti kwamba kinachukuwa nafasi nyingine lakini siyo ya Rais.

WhatsApp Image 2018-03-15 at 18.30.28.jpeg
 
SAFI sana.
Lkn wa reinstate yaliyoharibika. Kama waliopata ulemavu, waliokuwa, mali zilizoharibika etc
 
Chama tawala nchini Kenya cha Jubilee, kimesema kiko tayari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pamoja na chama ODM cha Raila Odinga kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. Kiongozi wa walio wengi katika bunge la Kenya Aden Duale amesema bungeni kuwa chama cha Rais Kenyatta kiko tayari kushirikiana na chama cha Odinga, kwa sharti kwamba kinachukuwa nafasi nyingine lakini siyo ya Rais.

View attachment 715861
Mipango mizuri kwani mustakabali wa taifa la Kenya kwa sasa ulikuwa katika mikono ya viongozi wa vyama hivi viwili.
 
Back
Top Bottom