Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
HAMY-D
Ikiwa mwalimu ameweza kuwa Rais,Mwandishi wa habari ameweza kuwa Rais, Mwanajeshi anaweza kuwa rais katika nchi hii sio vibaya pia kwa DJ au mwengine yeyote kuwa Raisi. Kubadili fani/ kazi inakatazwa siku hizi?
Au nani katika CHADEMA unataka agombee Uraisi?
Msikilize DJ hapa katika video.
Wenyewe walimu, waandishi na wanajeshi wakisikia unawafananisha na Disc Jockey sijui kama watafurahi!
Huko BOT bila shaka aliingizwa na Mtei kama alivyoingizwa ndani ya Chadema.
Last edited by a moderator: