UramboTabora
Member
- Sep 11, 2008
- 49
- 2
Makamba kasema hiviiii!
CHAMA NI CHETU, SERIKALI NI YETU, BUNGE LETU, NA SPIKA NI WETU.
Bandugu, huyu mzee ana-akili timamu?
GKUNDI
Tunaomba source ya hii habari maana naona imeanza kujadiliwa bila kujua source yake.Hebu weka mezani ili tuchambue kiundani inabidi tujue alikua anaongea na nani ?