Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini. Haipaswi kushupalia na kukaa mnafurahia kutenguliwa kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ndugu Mrisho Gambo
Sasa hivi nyie kama chama ambacho ni chama kikuu cha upinzani mlipaswa mtuonyeashe mna mikakati gani ya kuhakisha mtabaki kuwa chama kikuu cha upinzani.
Chama chenu kimechafuka mbele ya jamii. Tulitegemea mtueleze mtapangua vipi kashfa za ufisadi zinaowakabili za kuruhusu mwenyekiti wenu alipwe deni hewa zaidi ya bil 8.
Maana wananchi lazima watawahoji kama mlijinasibu kupinga ufisadi, mbona mliruhusu uchafu kama huu kufanyika?
Hata kama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ametenguliwa nyie itawapa credit gani kwenye uchaguzi mkuu hapo October?
Hii inaonyesha Chadema hamna mkakati wowote wa kujikwamua baada ya kujua mmeshashindwa vibaya hata kabla ya uchaguzi. Maana mnajadili na kufurahia mambo ambayo hayawasaidii hata kidogo.
Na kwa mantiki hii msione aibu hata kukubali mapema kabisa kuwa CCM imewazidi kete kwa kila namna.
Sasa mnabaki kusubilia matukio yanaowahusu CCM na kuyageuza ishu za kujadili wakati haziwasaidii.
Sasa hivi nyie kama chama ambacho ni chama kikuu cha upinzani mlipaswa mtuonyeashe mna mikakati gani ya kuhakisha mtabaki kuwa chama kikuu cha upinzani.
Chama chenu kimechafuka mbele ya jamii. Tulitegemea mtueleze mtapangua vipi kashfa za ufisadi zinaowakabili za kuruhusu mwenyekiti wenu alipwe deni hewa zaidi ya bil 8.
Maana wananchi lazima watawahoji kama mlijinasibu kupinga ufisadi, mbona mliruhusu uchafu kama huu kufanyika?
Hata kama aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha ametenguliwa nyie itawapa credit gani kwenye uchaguzi mkuu hapo October?
Hii inaonyesha Chadema hamna mkakati wowote wa kujikwamua baada ya kujua mmeshashindwa vibaya hata kabla ya uchaguzi. Maana mnajadili na kufurahia mambo ambayo hayawasaidii hata kidogo.
Na kwa mantiki hii msione aibu hata kukubali mapema kabisa kuwa CCM imewazidi kete kwa kila namna.
Sasa mnabaki kusubilia matukio yanaowahusu CCM na kuyageuza ishu za kujadili wakati haziwasaidii.